Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Mwigulu anazidi kudhihirisha upumbavu wake
dawa yake mende tu.unasemaaaaa??
- Hii inchi inaongozwa na watu incompetent;
- Rais Incometent
- Waziri mkuu incompetent
- Speaker icompetent.
- Wenyeviti wa vikao vya bunge incomepetent
- Wabunge wa ccm incompetent.
Kwani wewe hujui siku hizi bongo movie zimehamia bungeni, hao wote ni wasanii. Wanapiga kelele na hakuna linaloendelea.Naona sasa tunaanza kuiga mabunge ya wale wanao zipiga bungeni.
Maana ile mipasho. lol
nasikia ni nyumba ndogo ya simbachawenemwigulu nadhani ni nyumba ndogo ya john komba
huyu jamaa siuji kalogwa yeye na chadema tu, akuna anachofanya zaidi ya kukusoa chadema anamfanya mwenyekiti mapofu yanamtoka mdomoni hahahahha