Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Wewe haitwi tena Mh. Mnyika kuanzia jana hansad za bunge zimemuandika Mh. Washwa washwa, kwa hiyo kitu kinacho washa dawa yake ni kukunwa tu, ila ni kweli Mh. Washwa washwa anatafuta umaarufu sio siri
Umaarufu upi wakati hadi wewe unamfahamu Mnyika ni maarufu hata kabla hajawa mbunge! Kuwa ccm siyo ticket ya kutokufikiri sawasawa, mnajidhalilisha! Mtu anaongea mambo ya msingi wewe unasema anajitafutia umaafu, kwa nani sasa! Hii dhambi mnayoitenda CCM itawatafuna hadi kifo chenu!