Bungeni: CHADEMA yawavuruga wabunge, jazba zatawala na muswada wa katiba mpya haujadiliki

wabunge wenye akili ccm ni EL na magufuli tuu,wengine ni ma bongolala!hivi unategemea rage atazungumza nini?
 
Ndugu wana JF, tangu wabunge wa Chadema na NCCR-Mageuzi watoke nje ya Bunge jana kupinga ubabe wa serikali kuendelea kumrundikia rais madaraka makubwa na kumfanya awe mfalme kwenye nchi ya kidemokrasia kinyume na matakwa ya wananchi, bunge limepwaya sana maana wabunge wengi wawaochangia muswada wamesahau mada kwa kugeuza mjadala mzima kuwa Chadema badala ya kuonesha strengths au weaknesses za muswada na namna ya kuuboresha. Kwa kweli, ni dissappointment ya hali ya juu sana!

Hii inaonesha wazi kuwa bunge bila wabunge wa Chadema na NCCR-Mageuzi linapwaya sana! Afadhali wangekubali kusoma muswada kwa mara ya kwanza kama wana Chadema, NCCR-Mageuzi, wasomi, wanaharakati na wananchi walivyoshauri. Cha ajabu zaidi wabunge wa CCM A na B including Mrema waliwapiga vijembe wabunge wa Chadema, wasomi na wanasheria.

It's disgraceful!
 
Ndugu wana JF, tangu wabunge wa Chadema na NCCR-Mageuzi watoke nje ya Bunge jana kupinga ubabe wa serikali kuendelea kumrundikia rais madaraka makubwa na kumfanya awe mfalme kwenye nchi ya kidemokrasia kinyume na matakwa ya wananchi, bunge limepwaya maana wabunge wengi waliochangia muswada walisahau maada kwa kugeuza mjadala mzima kuwa Chadema badala ya kuonesha strengths au weaknesses za muswada na namna ya kuuboresha. Kwa kweli, ni dissappointment ya hali ya juu sana!

Hii inaonesha wazi kuwa bunge bila wabunge wa Chadema na NCCR-Mageuzi linapwaya sana! Afadhali wangekubali kusoma muswada kwa mara ya kwanza kama wana Chadema, NCCR-Mageuzi, wasomi, wanaharakati na wananchi walivyoshauri. Cha ajabu zaidi wabunge wa CCM A na B including Mrema waliwapiga vijembe wabunge wa Chadema, wasomi na wanasheria.

It's disgraceful!

nchi inaongozwa na fly catchers.
 
Nimejaribu kufuatilia michango ya wabunge ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania toka jana jioni hadi leo na kugundua kwamba wabunge wengi wamepandwa na jaziba kutokana na hotuba ya kambi ya upinzani na maoni ya washiriki wa Jukwaa la Katiba. Kwa kukosa utulivu, wabunge wameshindwa kutumia muda mfupi walionao kujadili kilichomo kwenye muswada wa kuunda tume ya katiba na badala yake wametekwa na kilichomo kwenye hoja ya kupinga muswada huo kusomwa kwa mara ya pili. Ushauri wangu ni kwamba wabunge wachache wanaondelea na mjadala wachangie kwa utulivu ili wananchi tufaidike na michngo yao mizuri. Tunataka wachangie kutokana na kilichomo kwenye muswada wenyewe, si kwa kilicho nje ya muswada.

Nawasilisha!
 
Nimejaribu kufuatilia michango ya wabunge ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania toka jana jioni hadi leo na kugundua kwamba wabunge wengi wamepandwa na jaziba kutokana na hotuba ya kambi ya upinzani na maoni ya washiriki wa Jukwaa la Katiba. Kwa kukosa utulivu, wabunge wameshindwa kutumia muda mfupi walionao kujadili kilichomo kwenye muswada wa kuunda tume ya katiba na badala yake wametekwa na kilichomo kwenye hoja ya kupinga muswada huo kusomwa kwa mara ya pili. Ushauri wangu ni kwamba wabunge wachache wanaondelea na mjadala wachangie kwa utulivu ili wananchi tufaidike na michngo yao mizuri. Tunataka wachangie kutokana na kilichomo kwenye muswada wenyewe, si kwa kilicho nje ya muswada.

Nawasilisha!

political immaturity ni kansa ndani ya CCM.
 
Magamba wakiishiwa hoja wanakwenda kwa personal issues tena of all the People Sendeka nilikuwa nakuzimikia unapotetea hoja mpka povu lakutoka naona leo umeamua kwenda na Kidumu chama cha Mapinduzi
Unajua unapomdiscus mtu aliyeondoka kwa Style ile maana yake kuna kitu wanamiss in their absense na wanajua wanaweza win watanzania wa kawaida wa nchi hii.
Mama Makinda sometimes unaniangusha yaani wameenda kunywa chai........................................................
 
Hakuna la maana linalozungumzwa zaidi ya mipasho dhidi ya CDM, vijembe, tambo za kusifia CCM, kuomba wananchi wawaamini wabunge ukiwasikiliza unaweza ukatapika.Nilichokiona jioni hii nusura nipasue TV wameharibia siku yangu.Kama bunge hili nililoliona leo litakua zao la mswada wa katiba mpya tumekwisha.
 
WANAJF;
Mimi naomba tuwaulize Wabunge wetu maswali haya madogo kwamba; JE, TOKA JANA JIONI, NI NINI WANACHOJADILI BUNGENI? NI HOJA YA MUSWADA WA KATIBA MPYA AU NI KUWAPONDA NA KUWAKEBEHI WABUNGE WA CHADEMA NA WANAHARAKATI WA TANZANIA? Nimeuliza hili swali kwasababu kila Mbunge anayepewa muda wa kuchangia hoja anaishia kutumia muda mwingi KUWASHUTUMU CHADEMA na Wanaharakati badala ya kujadili Hoja iliyo mbele yao.

Hivi ni kwanini wasitumie muda huu kutuonyesha kwamba wao huo muswada wanauelewa vizuri na upo kwa ajili ya maslahi ya wananchi. Ni kwanini wanaishia tu kumsifia Rais na maamuzi yake ya kuruhusu mchakato wa Katiba mpya na kusema wao ni wawakilishi wa wananchi, hivyo wananchi waendelee kuwaamini tu. Je, ktk mazingira kama haya ya kukosa hata kuelezea mnachokielewa ktk muswada huu na kuishia kutoa SHUTUMA NA KEJELI kwa wale ambao atleast walionyesha ni kwanini HAWAUKUBALI HUU MUSWADA KUSOMWA KWA MARA YA PILI BUNGENI.


Wabunge wetu wa CCM, hakika hata sisi raia wachache ambao tulikuwa bado tuna imani nanyi lkn ktk hili mmetukatisha tamaa kwamba hata wengi wenu hawajui nini maana ya hoja iliyo mbele yenu. Nimeshtushwa sana na hata aliyepata kuwa Mwanaharakati UMY MWALIMU alivyoshindwa kuchambua hoja kwa maslahi ya Taifa, na badala yake akaishia kutumia vibaya muda aliopewa na Spika kushutuma na kukejeli huku akitawaliwa na JAZBA NA HASIRA bila kusema chochote cha maana.


Maswali yangu ya mwisho kwenu Wabunge wetu ni haya;
1. JE MNAFAHAMU HOJA ILIYO MBELE YENU KUUJADILI?
2. JE MNAUTENDELEA HAKI KODI ZETU KWA KUTUMIA MUDA MNAOPEWA BUNGENI KUTOJADILI HOJA ILIYO MBELE YENU TENA YENYE
MAANA KUBWA SANA NA MUSTAKABALI WA NCHI YETU TENA KWA MIAKA MINGI IJAYO?
3. SPIKA ANNA MAKINDA; Kanuni zako zinasemaje kuhusu Mbunge anayetumia muda wake wote kwa kutoongelea hoja iliyo mezani na badala
yake anatumia muda huo aliopewa vibaya na hakika huyo Mbunge hawatendei haki sisi tuliomtuma kwenda Bungeni.
4. Wabunge; hivi ni lazima kuongea hata kama kitu unachotaka kuongea hauna uelewa nacho?

NB: HAKIKA NIMEKATA TAMAA NA CHAMA CHANGU NA HATA WABUNGE WETU NAO SASA NAONA MMEAMUA KUFANYA KAZI YA DOLA NA SI KAZI YENU TENA.
 
Kazi ipo. yaani Chadema wanataka watu waendeshwe na matakwa yao pasi na kupinga chochote.

Huo ni ukondoo ambao Nyerere aliutumia na kulifikisha taifa lenu hapo lilipo.

Sasa ni wakti wa ukweli na uwazi kila mtu ana haki ya kusema na kutoa mchango wa mawazo yake bila kumuogopa mtu yeyote.

Kubalini mabadiliko na mawazo mgongano
.

Nyani haoni kundule!!

Hayo mabadiliko na mawazo mgongano ni CHADEMA tu ndio kinapaswa kikubali? CCM chenyewe ni sawa tu kutokukubali mabadiliko na mawazo mgongano?!
 
Kazi ipo. yaani Chadema wanataka watu waendeshwe na matakwa yao pasi na kupinga chochote.

Huo ni ukondoo ambao Nyerere aliutumia na kulifikisha taifa lenu hapo lilipo.

Sasa ni wakti wa ukweli na uwazi kila mtu ana haki ya kusema na kutoa mchango wa mawazo yake bila kumuogopa mtu yeyote.

Kubalini mabadiliko na mawazo mgongano
.
Mbona masheikh wa Bakwata wakisema nyie masheikh wawaislam mnakasirika na kuwakejeli!
 
Nimefanikiwa kupitia baadhi ya majadiliano ya mswada wa katiba unaoendelea bungeni, unaonekana umetawaliwa sana na jazba kuliko utaalamu ambao wengi walitegemea kutoka kwa wabunge wetu ambao wametumwa na wanachi kuwasilisha maoni yao.

Sio wabunge wote ambao walitawaliwa na jazba ispokua wengi wao walishindwa kujicontrol na kuufanya mjadala uonekana kama wa mitaani sana kuliko bungeni. Hilo limeleta wasiwasi kwa baadhi ya wananchi hasa ktk kuamini kua message zao zitafika kama walivyokusudia na zitapewa umuhimu unaostahiki.

Ni vyema utaalam, hoja zenye nguvu, busara, ukali kidogo inapobidi lakin level ya mtu kufikisha ujumbe kama mbunge ambae ameaminiwa na jamii ikatawala.
 
Inasikitisha na inatia aibu kwa wabunge bungeni kupigana vijembe au kutoa hoja dhaifu wakati wanajua wanasikilizwa na wageni mbalimbali walio bungeni, Watanzania na watu kutoka nchi nyingine. Kuunga mkono hoja 100% mjadala hata kabla ya kuanza kuchangia inaonesha udhaifu mkubwa katika reasoning.

Kama mimi naona aibu bila kuwepo bungeni, wao inakuwaje?
 
Back
Top Bottom