MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Naona anaongea tuuuu na kumfanya Nyerere kama Mungu aliyekuwa Tanzania na ambaye hakuwa na neno au baya lolote kwa Taifa hili.
Anatumia kigezo gani kumsafisha Nyerere milelle kwamba hakuwa na baya lolote ndani ya utawala wake kwa taifa la Tanzania???
Nahisi kukereka na hili Gamba Pevu kwa porojo zisizo na mwelekeo.
Nawakilisha
Anatumia kigezo gani kumsafisha Nyerere milelle kwamba hakuwa na baya lolote ndani ya utawala wake kwa taifa la Tanzania???
Nahisi kukereka na hili Gamba Pevu kwa porojo zisizo na mwelekeo.
Nawakilisha