Nafikiri sasa wameamua kucheza na akili zawatu wanatafuta watu wao wanawapachika majina ya vikundi kisha wanawaita dodoma kupeleka maoni ya ajabuajabu mfano yaliyopelekwa leo eti wanatetea mali zisizo shikikaKweli ukishangaa ya Musa, utayaona ya Firaoni!
Nami nimemsikia, makamu Mwenyekiti, wa bunge maalum la katiba la magamba, akiwahakikishia waTz kuwa, waendelee kumiminika Dodoma, kwa kuwa maoni yao yanaendelea kupokelewa!
Sasa waTz, tunapaswa kujiuliza , hivi kumbe JK, alipokuwa anateua wajumbe wa Tume ya maoni ya katiba, iliyoongozwa na Jaji Warioba, ili wakusanye maoni nchi nzima, kumbe ilikuwa ni usanii wa hali ya juu!
Kwa kuwa Mwenyekiti wa bunge hilo, Samuel Sitta, naye tumemsikia mara kadhaa akisema kuwa wanaendelea kupokea maoni ya wananchi, kuhusu uundwaji wa katiba mpya, na leo Makamu wake naye ametuhakikishia kuwa wanaendelea kupokea maoni hadi tarehe 27 mwezi huu, watskapofunga pazia la kupokea maoni!
Sasa ndiyo tumethibitisha kuwa kumbe Rasimu ya Tume ya Warioba, ni kweli ishawekwa kapuni!
Ni usanii na dharau kubwa kwa umma. Bunge maalum la katiba mpya linajipangia kazi hata ya kukusanya maoni. Na ilishajipangia kudhibiti mihimili mingine ya dola,lakini lenyewe likijafanya ni above board; halitaki kuwekewa ukomo wa vipindi vya mbunge kuchaguliwa, linakataa wananchi ambao ndio waajiri kumwajibisha mbunge asiyetumikia vema wapigakura wake kwa kusitisha ubunge wake. Inakera!!!Kweli ukishangaa ya Musa, utayaona ya Firaoni!
Nami nimemsikia, makamu Mwenyekiti, wa bunge maalum la katiba la magamba, akiwahakikishia waTz kuwa, waendelee kumiminika Dodoma, kwa kuwa maoni yao yanaendelea kupokelewa!
Sasa waTz, tunapaswa kujiuliza , hivi kumbe JK, alipokuwa anateua wajumbe wa Tume ya maoni ya katiba, iliyoongozwa na Jaji Warioba, ili wakusanye maoni nchi nzima, kumbe ilikuwa ni usanii wa hali ya juu!
Kwa kuwa Mwenyekiti wa bunge hilo, Samuel Sitta, naye tumemsikia mara kadhaa akisema kuwa wanaendelea kupokea maoni ya wananchi, kuhusu uundwaji wa katiba mpya, na leo Makamu wake naye ametuhakikishia kuwa wanaendelea kupokea maoni hadi tarehe 27 mwezi huu, watskapofunga pazia la kupokea maoni!
Sasa ndiyo tumethibitisha kuwa kumbe Rasimu ya Tume ya Warioba, ni kweli ishawekwa kapuni!
Taratibu mtafahamu Sitta ni binadamu wa aina gani.Ni usanii na dharau kubwa kwa umma. Bunge maalum la katiba mpya linajipangia kazi hata ya kukusanya maoni. Na ilishajipangia kudhibiti mihimili mingine ya dola,lakini lenyewe likijafanya ni above board; halitaki kuwekewa ukomo wa vipindi vya mbunge kuchaguliwa, linakataa wananchi ambao ndio waajiri kumwajibisha mbunge asiyetumikia vema wapigakura wake kwa kusitisha ubunge wake. Inakera!!!
Nimeskia itv. Maswali nilijiuliza ni lini bmk ilipata uharali wa kukusanya maoni? Sheria ya katiba mpya inasemaje? BMK imetoa lini matangazo na kuhimiza wananchi waliokosa fursa hiyo watoe maoni yao? au inatokana na mijadara inayoendelea bmk then wanabaini nani wakuitwa...na kama ndo ivyo kwa nini waweke deadline?
Tunaomba kesi iliyofunguliwa na Kibatali ijumuishe hayo kwa faida yetu.
Maoni ya nini tena warioba amerudi au
yaani hiki ndo kile ambacho mwanajamvi mmoja alikiita wendawazimu. Jamani hivi hakuna mtu wa kuwaambia hawa watu kuwa wanakosea? hivi hawa wanaoleta maoni saa hii walikuwa wapi siku zote za ukusanyaji wa maoni. Yaani hata mwana sheria mkuu halioni hili na kulitolea ufafanuzi wa kina ili isiwachanganye wananchi!Makamu mwenyekiti wa bunge lakatiba kayasema hayo leo wakati akipokea maoni ya wasanii
Naona mmekutana makanjanja wenyewe, haya tunawapisha