Bunge linapaswa kutoa tafsiri ya Mshahara ili kumtendea haki Jerry Slaa. Basic salary ndio mshahara?

Ghafla nimeanza kuona umuhimu wa Katiba mpya.

Kamati ya bunge inashindwa kuelewa tofauti ya basic salary na total salary?

Jerry alisema mshahara wa mbunge haukatwi kodi, je posho ya mafuta, posho ya kutembelea jimbo siyo sehemu ya mshahara wa bunge?

Wataalamu wa Chuo cha kodi na wale wa IFM mkuje hapa mnielimishe.
Sasa ndugu mshahara ni nini? Kote kwenye Utumishi wa umma hiyo basic ndio salary ila posho haihusiani na hakuna sehemu yoyote ambako watumishi hata wa kawaida wanalipwa posho ikakatwa kodi.

Mimi ni shahidi wakati mwingine unalipwa posho kubwa zaidi ya mara 2 ya basic na hakuna kodi,kwa hiyo wako sahihi.
 
Jerry yupo sahihi, mapato yote anayopata mfanyakazi yoyote wa umma kwa sheria zetu lazima yakatwe kodi.

Sasa Bunge la Ngugai lisifikiri watanzania hatujui kwamba wabunge wa CCM wanakwepa kodi huku wakishadadia tozo.
 
Sasa ndugu mshahara ni nini? Kote kwenye Utumishi wa umma hiyo basic ndio salary ila posho haihusiani na hakuna sehemu yoyote ambako watumishi hata wa kawaida wanalipwa posho ikakatwa kodi.

Mimi ni shahidi wakati mwingine unalipwa posho kubwa zaidi ya mara 2 ya basic na hakuna kodi,kwa hiyo wako sahihi.
Posho ni sehemu ya mshahara au ni kitu kingine?
 
Posho ni sehemu ya mshahara au ni kitu kingine?
Kitu kingine tofauti kabisa,salary ni lazima upate ila posho sio lazima utapata ikipatikana ni just previlage na huwezi kataa kufanya Kazi Kisa posho.

Tofauti labda za wabunge ni kwamba posho zao ni kama lazima Ili Kazi zao ziende tofauti na watumishi wengine.
 
Jerry yupo sahihi, mapato yote anayopata mfanyakazi yoyote wa umma kwa sheria zetu lazima yakatwe kodi.

Sasa Bunge la Ngugai lisifikiri watanzania hatujui kwamba wabunge wa CCM wanakwepa kodi huku wakishadadia tozo.
Nafahamu kuwa kuna baadhi ya taasisi/mashirika ya umma ambako posho zote zimejumlishwa pamoja (consoloditated) na mshahara na hivyo hiyo jumla yote inachukuliwa kama mshahara na hivyo kukatwa kodi. Nafikiri kama wameamua ku-set precedence then taasisi zote ambazo wafanyakazi wake wanakatwa kodi kwenye posho, iwe kwenye consoloditated salary au separate posho(e.g. seating alowances za vikao), wasitishe maramoja na kama walikuwa wanakatwa kimakosa, watunga sheria ya kodi wameisha tupa tafsiri sahihi hivyo makato yote yarejeshwe kwa wote waliokatwa hapo kabla.
 
Kitu kingine tofauti kabisa,salary ni lazima upate ila posho sio lazima utapata ikipatikana ni just previlage na huwezi kataa kufanya Kazi Kisa posho.

Tofauti labda za wabunge ni kwamba posho zao ni kama lazima Ili Kazi zao ziende tofauti na watumishi wengine.
Kwahiyo posho inalipwa kwa mwezi au kwa kila tukio?
 
Ghafla nimeanza kuona umuhimu wa Katiba mpya.

Kamati ya bunge inashindwa kuelewa tofauti ya basic salary na total salary?

Jerry alisema mshahara wa mbunge haukatwi kodi, je posho ya mafuta, posho ya kutembelea jimbo siyo sehemu ya mshahara wa bunge?

Wataalamu wa Chuo cha kodi na wale wa IFM mkuje hapa mnielimishe.
Gross pay ni pamoja na hayo maposho posho yasiyo na kichwa wala miguu, na yote hayo yanatakiwa kukatwa kodi......
 
Ghafla nimeanza kuona umuhimu wa Katiba mpya.

Kamati ya bunge inashindwa kuelewa tofauti ya basic salary na total salary?

Jerry alisema mshahara wa mbunge haukatwi kodi, je posho ya mafuta, posho ya kutembelea jimbo siyo sehemu ya mshahara wa bunge?

Wataalamu wa Chuo cha kodi na wale wa IFM mkuje hapa mnielimishe.
Shida nyie CCM makinikia brains zenu ni nzito sana ku capture mambo. Yaani umuhimu wa katiba mpya ambayo ilitakiwa ianze kabla ya mfumo wa vyama vingi uanzishwe 1992 wewe ndiyo leo unauna leo miaka 30 baadaye?

Wacha tu Mungu akifutilie mbali kizazi chote cha CCM hii ya sasa ili nchi ibaki salama!
 
Ghafla nimeanza kuona umuhimu wa Katiba mpya.

Kamati ya bunge inashindwa kuelewa tofauti ya basic salary na total salary?

Jerry alisema mshahara wa mbunge haukatwi kodi, je posho ya mafuta, posho ya kutembelea jimbo siyo sehemu ya mshahara wa bunge?

Wataalamu wa Chuo cha kodi na wale wa IFM mkuje hapa mnielimishe.
Basic salary inakatwa kodi na allowances zote anazopata mtumishi zinatakiwa zikatwe kodi mfano house allowance, transport allowance overtime, fuel allowance zote zinatakiwa zilimwe. huku mtaani sisi tunakatwa hivyo why wao wasikatwe
 
Ghafla nimeanza kuona umuhimu wa Katiba mpya.

Kamati ya bunge inashindwa kuelewa tofauti ya basic salary na total salary?

Jerry alisema mshahara wa mbunge haukatwi kodi, je posho ya mafuta, posho ya kutembelea jimbo siyo sehemu ya mshahara wa bunge?

Wataalamu wa Chuo cha kodi na wale wa IFM mkuje hapa mnielimishe.
Karibu tupase sauti Kwa pamoja. Ndugai na Genge lake wanatuona Watz wote ni Vilaza.
KATIBA MPYA KATIBA MPYA KATIBA MPYA.
 
Sasa ndugu mshahara ni nini? Kote kwenye Utumishi wa umma hiyo basic ndio salary ila posho haihusiani na hakuna sehemu yoyote ambako watumishi hata wa kawaida wanalipwa posho ikakatwa kodi.

Mimi ni shahidi wakati mwingine unalipwa posho kubwa zaidi ya mara 2 ya basic na hakuna kodi,kwa hiyo wako sahihi.
Acha ujinga wewe, sekta binafsi wanakatwa kodi kila kitu, kila bonus na benefits zinazoingia wanazihesabu kama kipato chako na kinapigwa kodi, kuanzia housing allowance, transport allowance nk… Jerry Silaa ana point , waweke level field , kama wanakata wakate kwa wote Tz nzima au kama wanaruhusu allowance hazikatwi kodi iwe kwa wote pia.
 
Ghafla nimeanza kuona umuhimu wa Katiba mpya.

Kamati ya bunge inashindwa kuelewa tofauti ya basic salary na total salary?

Jerry alisema mshahara wa mbunge haukatwi kodi, je posho ya mafuta, posho ya kutembelea jimbo siyo sehemu ya mshahara wa bunge?

Wataalamu wa Chuo cha kodi na wale wa IFM mkuje hapa mnielimishe.
wewe kwa akili yako unaona viko sawa? Utakuwa umechanjwa MODERMA
 
Acha ujinga wewe, sekta binafsi wanakatwa kodi kila kitu, kila bonus na benefits zinazoingia wanazihesabu kama kipato chako na kinapigwa kodi, kuanzia housing allowance, transport allowance nk… Jerry Silaa ana point , waweke level field , kama wanakata wakate kwa wote Tz nzima au kama wanaruhusu allowance hazikatwi kodi iwe kwa wote pia.
Wewe umeongea vizuri!
 
Back
Top Bottom