johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,130
- 144,113
Ghafla nimeanza kuona umuhimu wa Katiba mpya.
Kamati ya bunge inashindwa kuelewa tofauti ya basic salary na total salary?
Jerry alisema mshahara wa mbunge haukatwi kodi, je posho ya mafuta, posho ya kutembelea jimbo siyo sehemu ya mshahara wa bunge?
Wataalamu wa Chuo cha kodi na wale wa IFM mkuje hapa mnielimishe.
Kamati ya bunge inashindwa kuelewa tofauti ya basic salary na total salary?
Jerry alisema mshahara wa mbunge haukatwi kodi, je posho ya mafuta, posho ya kutembelea jimbo siyo sehemu ya mshahara wa bunge?
Wataalamu wa Chuo cha kodi na wale wa IFM mkuje hapa mnielimishe.