mamilioni ya watanzania yaendelea kupotea kuwalipa wabunge ambao wanapoteza muda kujadili watu/chama kinachowatoa jasho badala ya kujadili maswala ya msingi ya kitaifa eg muswada wa katiba. Tuwe macho watanzania hawa watu hawathamini lile tulilowatuma nalo huko. Hawajui wajibu wao tena, tuwawajibishe.!!!!