dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Leo Bunge la Bajeti kwa mwaka 2012/2013 linaanza mjini Dodoma.
Tutarajie nini kipya? Kodi kupanda za Vinywaji kama kawaida yao taifa linaloendeshwa kwa kodi za Pombe na starehe!
Mishahara kupanda kwa sh. 6,500/=! Madini kuendelea kusamehewa kodi!
Wafanyakazi kuendelea kutolipwa malimbikizo ya fedha zao!
Kuongezeka kwa gharama za uendeshaji na kupunguza fedha za maendeleo.
Nini kipya ambacho hakijulikani?
Tutarajie nini kipya? Kodi kupanda za Vinywaji kama kawaida yao taifa linaloendeshwa kwa kodi za Pombe na starehe!
Mishahara kupanda kwa sh. 6,500/=! Madini kuendelea kusamehewa kodi!
Wafanyakazi kuendelea kutolipwa malimbikizo ya fedha zao!
Kuongezeka kwa gharama za uendeshaji na kupunguza fedha za maendeleo.
Nini kipya ambacho hakijulikani?