Mh speaker awali ya yote napenda kutoa pongezi za dhati kwa mke wangu mpendwa,leo amepika chai tamu sana
Napenda kumpongeza mtoto wangu wa kike kwani mpaka mda huu hajapata boifrendi wala mimba
Vilevile nimshukuru hausigeli wangu kwa kazi nzuri anazozifanya nyumbani espeshali wakati mke wangu akiwa safarini
Pongezi za mwisho lakini kwa umuhimu wa pekee ziende kwa kijana wangu ambaye mara nyingi amenifumania na vimada lakini hajawahi hata siku moja kumwambia mama yake
Napenda kumpongeza mtoto wangu wa kike kwani mpaka mda huu hajapata boifrendi wala mimba
Vilevile nimshukuru hausigeli wangu kwa kazi nzuri anazozifanya nyumbani espeshali wakati mke wangu akiwa safarini
Pongezi za mwisho lakini kwa umuhimu wa pekee ziende kwa kijana wangu ambaye mara nyingi amenifumania na vimada lakini hajawahi hata siku moja kumwambia mama yake