Hajakiuza, kawekeza mtaji wa kisiasa. Faida utaiona kuanzia oct 25.Hiyo ni dhambi ya mbowe kukiuza chama cha demokrasia na maendeleo kwa fisadi lowassa na mpaka watubu kwa wananchi na wamfukuze mamvi ndipo dhambi hiyo itawatoka la sivyo imekula kwao daima na CCM itabaki milele madarakani