Siku nyingine ukiona nimepost habari usikimbilie ku-comment kabla ya kusoma kwa umakini na kuelewa.,ona unavyoaibika sasa, aliyehama ni Katibu wa CHADEMA ambae ndio mpiga debe wa BARUAN ambaye ni mbunge wa CUF...sasa unasemaje habari inahusu CUF..habari inamuhusu KATIBU WA CHADEMA...hiyo kuwa mpigadebe ni taarifa ya ziada ni sawa ningesema kuwa KATIBU WA CHADEMA mwenye watoto wawili wa kiume, then wewe unakuja hapa kusema mbona habari zenyewe zinahusu watoto wawili wa kiume..!!!
Ila ni kazi yangu kuwanyoosha..
Hapa ni GT hivyo mtu unapo leta habari yako inabidi iwe imekamilika na tunamuomba shonza atwambie ukweli
du mke wa rais kikwapa kimeloa balaaa,ahahahaaaahahah sijajua maeneo mengine itakuwaje lol
We gamba acha matusiwewe kenge acha chuki za kike na kama mke acha umalaya wako humu
Chadema tangu iuzwe imekuwa inakimbiwa na watendaji kila siku...
.. Juliana Shonza tatizo lako njaaaa inakusumbua bloodynyang. .. we
Na alipohama Sumaye na Lowassa, CCM alitua ndege gani..??
wewe kenge acha chuki za kike na kama mke acha umalaya wako humu
Hiyo ni dhambi ya mbowe kukiuza chama cha demokrasia na maendeleo kwa fisadi lowassa na mpaka watubu kwa wananchi na wamfukuze mamvi ndipo dhambi hiyo itawatoka la sivyo imekula kwao daima na CCM itabaki milele madarakani
Si ndy hapo hawa mkuu, magamba midomo yao michafu sana kuanzia viongozi wao hadi waoAnawatafutia watu ban bila sababu
Juliana Shonza,hata habari iwe wazi na nzuri vipi,wewe huiharibu kwa ushabiki. Halafu,CHADEMA imekukaa kweli. Eti kwa uelewa na uwezo wako huo ulikuwa Makamu Mwenyekiti BAVICHA Taifa. CHADEMA nao walikosa wakuwachagua
Duuu!!! . Yaani CCM leo imekuwa masikini wa wanachama kiasi hicho? Lakini sishangai maana viongozi wenyewe ndio hao akina Juliana na Kibajaji. Ama kweli huu ndio mwisho wenu CCM.
Magamba wameoza kabisahako ni kadagaa kadogo sana wakati ninyi mnakavurahia hako kadagaa mjiandae na kilio week end hii PROF MWAND...a atakapotangaza rasmi kuungana na wanamageuzi viva CHADEMA VIVA UKAWA
ukawa ndio nini..? nihame nchi gani..? Ndio maana wakati mwingine tunaambiwa mwalimu wetu kipofu...
du mke wa rais kikwapa kimeloa balaaa,ahahahaaaahahah sijajua maeneo mengine itakuwaje lol