Bundi katua Nyumba ya Jirani, Katibu wa Wilaya (CHADEMA) Lindi ajiunga na CCM

Juliana Shonza

JF-Expert Member
Dec 19, 2012
2,009
1,607
1.jpg

Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, Ndg. Abdalla Madebe ambaye alikuwa ndiye mpigadebe mkubwa wa Mbunge wa CUF Lindi mjini anayemaliza mda wake, Mhe. Salum Baruan, akibebwa na wananchi baada ya kutangaza kuhamia CCM, katika mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi.

3.jpg

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Ndg Nape Nnauye akimkaribisha jukwaani, Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini - Chadema, Abdalla Madebe ambaye alikuwa ndiye mpiga debe mkubwa wa Mbunge wa CUF anayemaliza mda wake wa Lindi mjini, Salum Baruani, wakati alipoamua kutangaza kuhamia CCM.

8.jpg

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kutoka Wilaya ya Lindi Mjini na Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Mama Salma Kikwete akihutubia katika mkutano huo, uliofanyika Mnazi mmoja jana.
 
Kwani yeye ndo ana kura ya VETO? halafu wewe mama sijui bibi mambo ya CDM yanakuhusu nini? make tangu ufukuzwe wewe story zako ni CDM, jenga chama chako
 
Mdogo wangu Juliana Shonza,kila mara huwa nakushauri kupata,kutafakari,kuelewa na ndipo kuweka habari hapa. Ona sasa unavyojiumbua,kichwa cha uzi chahusu CHADEMA,habari yahusu CUF. Bure kabisa!
Siku nyingine ukiona nimepost habari usikimbilie ku-comment kabla ya kusoma kwa umakini na kuelewa.,ona unavyoaibika sasa, aliyehama ni Katibu wa CHADEMA ambae ndio mpiga debe wa BARUAN ambaye ni mbunge wa CUF...sasa unasemaje habari inahusu CUF..habari inamuhusu KATIBU WA CHADEMA...hiyo kuwa mpigadebe ni taarifa ya ziada ni sawa ningesema kuwa KATIBU WA CHADEMA mwenye watoto wawili wa kiume, then wewe unakuja hapa kusema mbona habari zenyewe zinahusu watoto wawili wa kiume..!!!

Ila ni kazi yangu kuwanyoosha..
 
Wewe binti wenzangu mark my words ifikapo 25 jiandae kuhama nchi maana hutokubari kuongozwa na ukawa
 
Wenzio wanajivunia kusajili mawaziri wakuu wawili kwa mpigo wewe unakuja na katibu wa Chadema huko ambako CUF imeota mizizi. Siasa za ulaghai mwisho mwaka huu, Lowassa akiingia Ikulu ni fimbo tu mtakimbilia Kenya
 
kibogo
THE OLD REJECTS...Katibu Mkuu wetu anawaita MAPAKI, then una-compare na watendaji wapanga mbinu na mikakati..
Naomba nitajie Katibu wa Wilaya mmoja tu aliyejiunga na UKAWA kutoka CCM...Edo aliahidi atawaletea 83...Mzee Muongo yule.
 
Last edited by a moderator:
Sasa hapa napata shida kidogo, Nani Kilaza..? Yule anayeamini hata watu wote wakihama bado atapigiwa kura na majini kisha awe Rais..? ama yule aliyeona kuwa huku kumejaa wapiga dili niende kwa wanasiasa na wanamabadiliko ya kweli.?

Eti hata wakihama wote Lowassa ndio rais wetu..labda rais wa mtaa wenu.

Ntakukumbusha baada ya oct 25
 
Juliana Shonza

Tunashindwa kukuelewa we we uko upande upi au ndio msaka tonge jaribu kufikiria kwa kutumia ubongo wako pekee usilihusishe tumbo lako.
au umepewa kazi ya nape nini.

Mkiambiwa mapandikizi mnakuwa wakali tulia kwa mume mmoja utashindwa kujua motto ni wanani kila unapoona mguko wa suruali umetuna unajua kaweka pesa unaanza kumfuata nyuma wengine wanaweka leso au karata .watakutumia bure
 
Last edited by a moderator:
CHADEMA ni kawaida yao kukosea..kama CHADEMA isingelikuwepo ulimwenguni basi KUKOSEA kusingeliumbwa.

Ona walivyokosea hata sasa, Mgombea Urais amepatikana kwa dharura, rejects wa kudumu ndani ya CCM kwao imekuwa CHUNGU kaona ganda la muwa la jana.

Katibu Mkuu wenu amekuwa wa dharura, na kila mnalofanya mnakosea...poleni.
 
Kweli wewe mwanamke opportunist aisee......nikukumbuka harakati zako enzi zile mabibo hosteli kubandika mabango kwenye tanks za maji usiku I can't believe uko upande wa pili nw
 
Back
Top Bottom