Bundi katua Nyumba ya Jirani, Katibu wa Wilaya (CHADEMA) Lindi ajiunga na CCM

makoo yaume kwa kutangaza chadema wakuu wavute mabilioni kuuza chama bora kuondoka well done abdalah madebe
 
kadri siku zinavozidi kwenda kukaribia uchaguz mkuu wengi watanunuliwa..... ila ukweli kwamba mabadiliko ya sasa ni kama majira ya mwaka ... hauwez ukayabadilisha.... yatatokea tu
 
Juliana Shonza najua inakuuma sana sababu UTOKOSA ubunge wa viti maalum sababu Laigwan kageuza mambo na CCM itapoteza viti vingi mno!
Nipo Mbeya hapa!!Akiendelea kukaa kimywa Mzee Mwandosya bila kuwasaidia hata Jimbo la Busokela mnapigwa!So far Jimbo ninalo ona CCM ltachukua hapa Mbeya ni Ileje tu!!

Kyela home sisi tumeisha maliza uchaguzi,Dr Mwakyembe atarudi UDSM kufundisha!!
 
Baada ya uchaguzi CCM itafilisika kwa nguvu kubwa inayotumika kununua viongozi wa upinzani. Hakuna anayehama bila kuahidiwa kitu including huyu katibu kwani CCM wako tayari hata kutoa mabilioni kuhongwa ili mtu influencial atoke upinzani kuja CCM. Je amekuja na wafuasi wangapi?
 
Siku nyingine ukiona nimepost habari usikimbilie ku-comment kabla ya kusoma kwa umakini na kuelewa.,ona unavyoaibika sasa, aliyehama ni Katibu wa CHADEMA ambae ndio mpiga debe wa BARUAN ambaye ni mbunge wa CUF...sasa unasemaje habari inahusu CUF..habari inamuhusu KATIBU WA CHADEMA...hiyo kuwa mpigadebe ni taarifa ya ziada ni sawa ningesema kuwa KATIBU WA CHADEMA mwenye watoto wawili wa kiume, then wewe unakuja hapa kusema mbona habari zenyewe zinahusu watoto wawili wa kiume..!!!

Ila ni kazi yangu kuwanyoosha..
Sidhani kama wewe una uwezo wa kuwanyoosha. Hata Slaa kagonga mwamba we ndo utaweza? Kuhama ni haki ya mtu anapoona inafaa
 
Siku nyingine ukiona nimepost habari usikimbilie ku-comment kabla ya kusoma kwa umakini na kuelewa.,ona unavyoaibika sasa, aliyehama ni Katibu wa CHADEMA ambae ndio mpiga debe wa BARUAN ambaye ni mbunge wa CUF...sasa unasemaje habari inahusu CUF..habari inamuhusu KATIBU WA CHADEMA...hiyo kuwa mpigadebe ni taarifa ya ziada ni sawa ningesema kuwa KATIBU WA CHADEMA mwenye watoto wawili wa kiume, then wewe unakuja hapa kusema mbona habari zenyewe zinahusu watoto wawili wa kiume..!!!

Ila ni kazi yangu kuwanyoosha..

Hivi huyu Juliana Shonza si ndie aliyefukuzwa chadema au ni mwingine.?
 
Juliana Shonza Si ajabu askari mmoja au wawili kufa njiani wakati wa mapambano.Tuliobaki tutaendelea kufaiti hadi tone la mwisho na naamini tutashinda
 
Last edited by a moderator:
hivi Juliana anfahamu hata sera moja ya chama chake? yaani huamini kama ulishatoka CDM, Daha hayo sasa ni mahaba kwa CDM
 
Tatizo kubwa ni uelewa wako mdogo maana ungejiuliza kwanini watu wanakimbia kila siku chadema sidhani kama ungesubutu kucomment hivi.....tafakari then chukua hatua CCM chama Imara Afrika.
Mbona hujaa muambia why watu wanakimbia ccm?wanakimbia Mawaziri wakuu atakuwa huyu mwenyekiti wa mtaa?
 
Unamnyoosha nani wewe bi koko ulishindwa kipindi kile utaweza sasa!! Kwa taarifa yako chadema ya sasa hivi hata ahame mbowe atubabaiki wala kutingishika tuko wamoja na tutaendelea kuwa wamoja mpaka pale ccm iondoke madaraka lasimi.
 
Back
Top Bottom