B H
Senior Member
- Mar 28, 2011
- 104
- 9
Ndugu zangu wanaJF,mie ni kijana wa kiume na ninatafuta msichana alie tayari kuwa nami kwenye mahusiano.
mie ni graduate na natafuta mwenye elimu kama yangu.
awe na kipato cha kujitosheleza.
awe mzuri kwa sura na tabia kwani nami nina wajihi mzuri sana na tabia njema pia.
akiwa na mtoto sio mbaya ili mradi awe single.
so,kama kuna mdada anaetafuta mwenza naomba ani pm tafadhali.
nb.
urembo na tabia njema ni vigezo vya msingi hayo mengine kuna uwezekano wa kulegeza msimamo.
mie ni graduate na natafuta mwenye elimu kama yangu.
awe na kipato cha kujitosheleza.
awe mzuri kwa sura na tabia kwani nami nina wajihi mzuri sana na tabia njema pia.
akiwa na mtoto sio mbaya ili mradi awe single.
so,kama kuna mdada anaetafuta mwenza naomba ani pm tafadhali.
nb.
urembo na tabia njema ni vigezo vya msingi hayo mengine kuna uwezekano wa kulegeza msimamo.