Broken heart

B H

Senior Member
Mar 28, 2011
104
9
Ndugu zangu wanaJF,mie ni kijana wa kiume na ninatafuta msichana alie tayari kuwa nami kwenye mahusiano.
mie ni graduate na natafuta mwenye elimu kama yangu.
awe na kipato cha kujitosheleza.
awe mzuri kwa sura na tabia kwani nami nina wajihi mzuri sana na tabia njema pia.
akiwa na mtoto sio mbaya ili mradi awe single.
so,kama kuna mdada anaetafuta mwenza naomba ani pm tafadhali.
nb.
urembo na tabia njema ni vigezo vya msingi hayo mengine kuna uwezekano wa kulegeza msimamo.
 
Ooopsss nishawahiwa na jamaaa but mtangulize Mungu utafanikiwa tuu kwani huko chuoni hukupata kaka????:help:
 
Ndugu zangu wanaJF,mie ni kijana wa kiume na ninatafuta msichana alie tayari kuwa nami kwenye mahusiano.
mie ni graduate na natafuta mwenye elimu kama yangu.
awe na kipato cha kujitosheleza.
awe mzuri kwa sura na tabia kwani nami nina wajihi mzuri sana na tabia njema pia.
akiwa na mtoto sio mbaya ili mradi awe single.
so,kama kuna mdada anaetafuta mwenza naomba ani pm tafadhali.
nb.
urembo na tabia njema ni vigezo vya msingi hayo mengine kuna uwezekano wa kulegeza msimamo.

mimi nina miaka 40 na nina watoto watatu.......na moyo wangu umevunjika......nimekwalifayi?
 
wadada himahima broken Heart amekuja kuwashikaaa:love:

Ooopsss nishawahiwa na jamaaa but mtangulize Mungu utafanikiwa tuu kwani huko chuoni hukupata kaka????:help:

Mi nina tabia nzuri lkn sio mrembo kaka, wala sina hoby na urembo, vingine vyote ninavyo. Unasema je?

mimi nina miaka 40 na nina watoto watatu.......na moyo wangu umevunjika......nimekwalifayi?
nyinyi mbona mnazidi kulibreak broken heart? khaaa!
 
Mi nina tabia nzuri lkn sio mrembo kaka, wala sina hoby na urembo, vingine vyote ninavyo. Unasema je?

LD mi sijali urembo, kama una tabia nzuri hata kama utakuwa na sura ka mamba, shape ka kiboko, na mwendo kama Dinosour mi hapana mbaya, niPM plz...!!:help::help::help:
 
LD mi sijali urembo, kama una tabia nzuri hata kama utakuwa na sura ka mamba, shape ka kiboko, na mwendo kama Dinosour mi hapana mbaya, niPM plz...!!:help::help::help:
Hahahaa!
We unatafuta spacemen ya research au?
 
LD mi sijali urembo, kama una tabia nzuri hata kama utakuwa na sura ka mamba, shape ka kiboko, na mwendo kama Dinosour mi hapana mbaya, niPM plz...!!:help::help::help:

Kwa mila zetu kijana ndo anamuanza binti, So kama ni kweli hujali urembo.......
 
Hahahaa!
We unatafuta spacemen ya research au?

Mkuu sasa mbona unataka nifukuzia ndege wangu? hayo mambo ya kuangalia urembo ni ya hawa vijana wa kileo wanaojiita mashalabano, sie zamani tulikuwa tunaangalia tabia. Kwanza mke mzuri ni matatizo tu...

Late Lucky Dube katika wimbo wake wa It's Not Easy alisema hivi, nanukuu, "Beautiful women, is another men's play thing."
So, LD mama niPM plz
 
mbona hizi comments zanipa kizunguzungu badala ya suluhisho?
:disapointed::disapointed:
 
Kloro nnaimani hapa atapata pumziko zaidi ya pumzika...
hehehe shosti sentensi ina utata hiyo. hapa unamaanisha kwako au hapa unamaanisha hapa JF?. mimi ni mpigaji debe asie rasmi wa broken heart katika hii sredi.
 
Ndugu zangu wanaJF,mie ni kijana wa kiume na ninatafuta msichana alie tayari kuwa nami kwenye mahusiano.
mie ni graduate na natafuta mwenye elimu kama yangu.
awe na kipato cha kujitosheleza.
awe mzuri kwa sura na tabia kwani nami nina wajihi mzuri sana na tabia njema pia.
akiwa na mtoto sio mbaya ili mradi awe single.
so,kama kuna mdada anaetafuta mwenza naomba ani pm tafadhali.
nb.
urembo na tabia njema ni vigezo vya msingi hayo mengine kuna uwezekano wa kulegeza msimamo.


Nimependa hapo tu kwa mpango huu utafanikiwa!!! Nakuombea heri BH
 
mbona hizi comments zanipa kizunguzungu badala ya suluhisho?
:disapointed::disapointed:
mkuu isikusumbue hii, hawa jinsia ya upinzani ndio zao, hazarani huwa wanajifanya kukataa lakini mkifika ndani wao ndio wanaanzisha kiduku. hapa tunapiga soga tu la muhimu hakikiksha inbox yako ya PM ina chaji ya kutosha.
 
Back
Top Bottom