Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Kwanini. . .. ?
kwa sababu anayekuacha anakuwa anauma na kupuliza hivyo japo unapoozwa bado unaumia kwa muda mrefu tu ukitumainia labda siku moja maumivu yataisha...ni sawa na kunywa vidongo vichungu kwa muda mrefu badala ya kuchomwa sindano kali kwa muda mfupi yaishe...