Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,562
- 986
Wa Tz ni mabingwa wa kujifanyisha na hatutambui kama Dunia ya sasa ni ya uwazi na ukweli. Mimi nikishachukua maamuzi ya kukumwaga nakupa live bila kupoteza muda, tena huku nakutazama usoni, sijui kujifanyisha kupenda, ukinywa sumu hutakuwa mtu wa kwanza kufa hapa Duniani. Isitoshe nimeshafiwa na watu wengi wa karibu kuliko wewe. Huu ni wakati wa kuita jembe, jembe, siyo kuita jembe kifaa cha kulimia.