BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 5,015
- 10,973
Haumfokei beki tatu ila unamtafuna mbususu kimaskhara.hata beki 3 huwa hafokewiii kifalaa
Ulaaniwe.
Haumfokei beki tatu ila unamtafuna mbususu kimaskhara.hata beki 3 huwa hafokewiii kifalaa
Kwahiyo saivi Boss ny*ge zake zimeisha ni mwendo wa kukufokea tu hadharani?Ivi Boss akikufokea mbele ya staff wenzako ni sahihi kweli?
uko sahihi,hatakama atagoma kukuelewa kwa wakati huo ila naimani kama mtu mzima baadae atalifikiria tu na huenda wakati mwingine asirudie kufanya mambo kama hayoHahaaaa, inategemea ntu na ntu.
Wakike au mwanaume?Ivi Boss akikufokea mbele ya staff wenzako ni sahihi kweli?
Hahahaha... akili za kuambiwa changanya na za kwakoUkikaa kimya atakufokea kila siku...
Dawa ni kumpandishia sauti kuliko yeye...hatarudia tena
Kama wa kiume je.Wakike au mwanaume?
Kama ni wakike msamehe Bure, yupo kwenye menopause
#YNWA
Kukaaa kimya ilikua na faida zaidi kuliko kuripoti! Na kilichomfanya apate hasira sio kosa lililofanyika ila kwann mm sikuliripotipole sana,ila pia nilichojifunza katika kazi,sisi watanzania wengi kuna wakati tunazingua katika kazi na tunataka kupewa leniency na ukiangalia kiwango cha makosa yaliyofanyika ni makubwa na pengine na yalipaswa kutatuliwa wakati huo huo ambapo jambo limetokea,hivyo kwa mazingira kama hayo lazima Boss afoke
Ivi Boss akikufokea mbele ya staff wenzako ni sahihi kweli?
Wivu lazima.Umenikumbusha kuna boss alinitesa sana kila akikuta nahudumia demu mzuri lazima anigombeze bila sababu ilimradi demu aone yeye ndo tajiri
Siku moja nilikasirika sana nilisimama kwa hasira bila kusema neno nikawa namsogelea akawa anarudi nyuma kwa uoga nikajua kumbe ni pimbi tu nikaachana nae ila hakurudia tena
Mradi usitumtukane tu...atakuheshimuakikufukuza kazi
pole sana aise maana Maboss wengi huwa na tabia ya kupandikizia au kutengeneza spies 9tabia ya kuchongeana) miongoni mwa wafanyakazi,inawezekana naye alikuwa na lengo hilo hilo hivyo lazima afokeKukaaa kimya ilikua na faida zaidi kuliko kuripoti! Na kilichomfanya apate hasira sio kosa lililofanyika ila kwann mm sikuliripoti
Aise labda kama siyo Supervisor wake au mtu ambaye amemzidi cheo,maana unaweza jikuta kibarua kimeota nyashi kwa utovu wa nidhamu tu,ambapo ungeweza kukausha tu na usipungukiwe chochote kwa wakati huo,Muda mwingine ukimya ni bora kuliko manenoKama na yeye ameajiriwa basi huyo sio bosi bali ni kibarua mwenzako; nawe umfokee tu; ila kama ni kampuni yake na amekuajiri, kuwa mpole kwa sababu ndio anayekuweka mjini.