Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 697
- 1,598
Ivi Boss akikufokea mbele ya staff wenzako ni sahihi kweli?
Ukikaa kimya atakufokea kila siku...
Dawa ni kumpandishia sauti kuliko yeye...hatarudia tena
Pole mchumba wangu. Sio sahihi. Kama una guts rudisha makombora.Ivi Boss akikufokea mbele ya staff wenzako ni sahihi kweli?
ukijaribu hivyo unaweza jikuta umelimwa barua ya insubordinationUkikaa kimya atakufokea kila siku...
Dawa ni kumpandishia sauti kuliko yeye...hatarudia tena
Job insecurity zinafanya watu wapoteze haki zao sana.Ukikaa kimya atakufokea kila siku...
Dawa ni kumpandishia sauti kuliko yeye...hatarudia tena
pole sana,ila kama mwajiri wako ni Muhindi /Wahindi ,Mchina kwao ni jambo la kawaida,ila nachoweza kushauri ni wewe kumsikiliza kwa muda huo bila kumjibu vibaya alafu baadae akishatulia mfuate ofisini kwake na uombee kuongea naye,kisha mueleze kuwa kama unakuwa umekosea jambo unaomba awe anakuelekeza kiustarabu na pia asiwe anakufokea mbele za watu kani ni kudhalilishana na kutengeneza hali ya dharau kwa wafanyakazi wenzako.Ivi Boss akikufokea mbele ya staff wenzako ni sahihi kweli?
pole sana,ila pia nilichojifunza katika kazi,sisi watanzania wengi kuna wakati tunazingua katika kazi na tunataka kupewa leniency na ukiangalia kiwango cha makosa yaliyofanyika ni makubwa na pengine na yalipaswa kutatuliwa wakati huo huo ambapo jambo limetokea,hivyo kwa mazingira kama hayo lazima Boss afokeKuna sehemu nlifanya kazi part time boss alikua mkorofi huyo mama.....Kuna jamaa alifanya makosa mi nkapiga kimya aiseee aliniwakia mpaka watu wengn wakainamisha vichwa chini
Hahaaaa, inategemea ntu na ntu.pole sana,ila kama mwajiri wako ni Muhindi /Wahindi ,Mchina kwao ni jambo la kawaida,ila nachoweza kushauri ni wewe kumsikilia kwa muda huo bila kumjibu vibaya alafu baadae akishatulia mfuate ofisini kwake na uombee kuongea naye,kisha mueleze kuwa kama unakuwa umekosea jambo unaoba awe anakuelekeza kiustarabu na pia aiswe anakufokea mbele za watu kani ni kudhalilishana na kutengeneza hali ya dharau kwa wafanyakazi wenzako.
Ukiishi na mindset hii kuna siku atakushika makalio mbele ya staffs wenzako na hautasema kitu kwa kuwa unaogopa atakufukuza kazi.akikufukuza kazi