Tupe copy mkuuKama unataka kuishi bila kumwa kitafute hichoView attachment 2464901
wengine sasa :1.Bible
2.think and Grow Rich
3.Poor Dad Rich Dad
4.Why we want You to be Rich
5.The Note book
6.I Can I must I will (not yet done....)
Why!?
Sikuzaliwa nikipenda kusoma vitabu kabisa tena nilikua naona ni adhabu
baba yangu ni msomaji wa vitabu sana nimezaliwa nimekuta kuna library nyumbani
so baba akija akikukuta unaangalia tv atakuuliza swali lolote la shule,Ukimjibu sahihi bila kukosea (umepona)
ila akikuuliza swali la shule halafu ukawa hujui unajiuma uma,Ana zima TV anakushika mkono anakupeleka Library
Anakugombeza anakwambia unakaa kuangalia TV wakati kichwani hamna kitu,Anakupa kitabu usome,
anaweza kukwambia shika hiki kitabu soma mpk page 20 then summarize kwenye hii paper ulichosoma uniletee chumbani
Ukimaliza unafanya hivyo (it was hard for me) ila i used to cope with that Life Mwishowe nikajikuta nadondokea kwenye
Usomaji wa vitabu bila hata kuambiwa na mtu au kupigiwa kelele.
So another year has come. Happy new year Bookworms.
Lately I don't have that much time to read. I work 12 hours a day, 6days a week. I take one day off a week basi.
I don't find time to read. But there is no such thing as being too busy to do something right? So, I make time to read, during my lunch break and during my commute. Pia before bed for two hours or more. Na pia nimekuwa a bathroom reader mzuri sasa..Lol.
2022 nilisema nitasoma kuhusu Adventure , Astronomy and Cosmology. Nimefanikisha kusoma vichache sababu ya changamoto mbalimbali ikiwemo na muda.
1.The Siege and Conquest of the North Pole by George Bryce.
2.The grand design by Stephen Hawking
3.Pop science-Great History of Time by Stephen Hawking
4.A Universe From Nothing by Lawrence Krauss.
5.The Big Bang by Simon Sinh
6.Future of Humanity by Michio Kaku
7.Shogun by James Clavell
8. Musashi by Eiji Yoshikawa.
Tbr, Our Mathematical Universe by Max Tegmar
Vingine nilivyovisoma nimeviandika humu na vingine nimepata recommendation humu ni,
1.Angela's Ashes by Frank McCourt.
2.I am Still Alive by Kate Alice Marshall.
3.Confession of an Economic Hitman (recommended by you).
4.I have No Mouth and I must Scream by Harlan Ellison.
5.Why Has Nobody Told Me This Before by
6.Burry My heart at Wounded Knee by Dee Brown
7. Leave The World Behind by Rumaan Alam
8. The Brothers Karamazov by Dostoyevsky.
Currently reading, The Girl on the Train by Paula Hawkins.
Inawezekana kuna vingine vimesahaaulika.
2023, sijaweka bado malengo yoyote. Vipi kuhusu wewe?
Cc Step_Rocker
Naomba pdf ya small business bible2022 I read
1. Tiny Habits BJ Fogg
2. Money Maste the Game Tonny Robbins
3. Rules of Money Richard Templar
4. Tao Te Ching (sijaelewa kbs)
5. The Psychology of Money
6. The Four Agreements Don Miguel
7. Screw it Lets Do it Richard Branson
8. Principle by Ray Dalio sikukimaliza lost interest in the middle nikakiacha.
2023 I will read
Mostly business books and habit changing books and a novel
1. Small Business Bible by Steven D. Strauss
2. Atomic Habits by James Clear
3. Compound Interest by Darren Hardy
4. Subtle Art of Not Giving a F#ck- Mark Manson
5. 7 Habits of Highly Effective People (re reading)
6.The E- Myth
7. Unscripted MJ DeMarco
8. Tuesdays with Morie
Nashindwa ku-attach file kwa simu mazingira niliyopo sina computerNaomba pdf ya small business bible
Paula umekionaje hicho Bury my heart at wounded knee?So another year has come. Happy new year Bookworms.
Lately I don't have that much time to read. I work 12 hours a day, 6days a week. I take one day off a week basi.
I don't find time to read. But there is no such thing as being too busy to do something right? So, I make time to read, during my lunch break and during my commute. Pia before bed for two hours or more. Na pia nimekuwa a bathroom reader mzuri sasa..Lol.
2022 nilisema nitasoma kuhusu Adventure , Astronomy and Cosmology. Nimefanikisha kusoma vichache sababu ya changamoto mbalimbali ikiwemo na muda.
1.The Siege and Conquest of the North Pole by George Bryce.
2.The grand design by Stephen Hawking
3.Pop science-Great History of Time by Stephen Hawking
4.A Universe From Nothing by Lawrence Krauss.
5.The Big Bang by Simon Sinh
6.Future of Humanity by Michio Kaku
7.Shogun by James Clavell
8. Musashi by Eiji Yoshikawa.
Tbr, Our Mathematical Universe by Max Tegmar
Vingine nilivyovisoma nimeviandika humu na vingine nimepata recommendation humu ni,
1.Angela's Ashes by Frank McCourt.
2.I am Still Alive by Kate Alice Marshall.
3.Confession of an Economic Hitman (recommended by you).
4.I have No Mouth and I must Scream by Harlan Ellison.
5.Why Has Nobody Told Me This Before by
6.Burry My heart at Wounded Knee by Dee Brown
7. Leave The World Behind by Rumaan Alam
8. The Brothers Karamazov by Dostoyevsky.
Currently reading, The Girl on the Train by Paula Hawkins.
Inawezekana kuna vingine vimesahaaulika.
2023, sijaweka bado malengo yoyote. Vipi kuhusu wewe?
Cc Step_Rocker
Paula umekionaje hicho Bury my heart at wounded knee?
Tutasubiri. Ila tu nikuambie hutajuta, na nikutahadharishe kuwa kinaweza kukuliza.Hiki kitabu kimekuwa kinakusanya vumbi kwenye shelf yangu kwa miaka sasa kwasababu nakiona kama folklore fulani za wahindi wekundu.
Maadam wadau mmekitaja nitakivutia pumzi nikisome.
Nitawapa mrejesho pia.
Tafadhali usiondoke Lycaon pictus na soulmate Paula.
Naomba pdf ya small business bible
What a heartbreaking read.Paula umekionaje hicho Bury my heart at wounded knee?
You got this!