Jamani huyu mzungu ni noma atächukua hio ml 30, ngoja tuone
Watendaji wa JF hebu tafadhali toeni hii habari ktk jukwaa hili.
Tafadhali sana coz kama mtu atashindwa kupeleka thread mahali husika atakuwa anayataka matusi yangu ambayo huwa natoa mapya kila siku...
Hili ni jukwaa la siasa na huyo Salama sidhani kama ni mwanasiasa.
So plz toa huu ushuzi hapa
Ki ukweli kauli ya majaji hasa madame inaleta hofu na mashaka kwenye fainal ya bss2010 "amemwambia mshiriki anaeimba taarabu kuwa yeye ni mshndi wake kufa kupona"Alikua anataka kumaanisha hata kma wananchi wakimchagua tofauti na huyu yeye anabadilisha.HAFAI
jamani sijui ni masikio yangu au ni kitu gani....master jay kasema sisi watanzania ni washamba shauri tunamshangaa mzungu kuimba kiswahili?....au nimelewa>