RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Kwa kuangalia Mwenendo wa Filamu Zetu na Jinsi wasanii wetu ambavyo hawaangalii Mbele na wanachojali ni Pesa pekee.
Na hata siku Moja hawajaangalia Wenzao wanafanya nini katika Soko kuanzia la Kitaifa mpaka Kimataifa. FILAMU ZA KITANZANIA nazipa Mda tu zitaangamia kama NIGERIA
CHUKULIA MFANO: RAY
Juzi juzi tu hapa Ametoa Movie inayoitwa SOBBING SOUND... Katika wakati huo huo anajiandaa kutengeneza filamu kwa ajili ya RAMADHANI. sasa Mimi najiuliza hivi RAY anafanya Video shooting kwa Kufikiria Mwenyewe kama Wenzetu Walioendelea kifilamu au Kwa Matukio.? Mf ukitokea utapeli basi ataigiza UTAPELI? n.k
Sasa hapa ndo utaamini wanatafuta Pesa bila Kuangalia Je atakuwa Wapi Miaka 5-10 ijayo....
Tunaweza kusema Labda mitaji hatuna lakini kama Mtu unapenda kufanya Filamu utakuwa tayari kujitoa Muhanga ili ufike Mbali kimaigizo na Kiteknolojia Kwa kutumia Pesa ulizopata kununua Vifaa na Kwenda Kujifunza Elimu ya Filamu. Lakini kwa Wenzetu ni Ndoto kwenda kuSOMA wanaona wamefika na Wameshakuwa kama HOLLYWOOD.
Kuna Vitu vingine kama KUTENGENEZA FAKE BLOOD kwa kutumia Chocolate powder and red dye and blue dye ambavyo unaweza kupata Elimu hii YOUTUBE na Kupata Materials kwenye SUPERMARKET zetu. Lakini hili kwa Filamu zetu nyingi mpaka damu za wanyama zinatumika. Sasa badala ya Mtu kuAct Filamu Vizuri anafikiria DAMU ya Mnyama na kushindwa KUIGIZA Vizuri
LEO hii utashangaa Matangazo ya VODA,ZANTEL,TIGO yanatengenezwa na Makampuni ya NJE kama INDIA. Wakati kuna Makampuni ya Filamu Tanzania ambayo kama Yangekuwa yanateknolojia Nzuri Yangetengeneza hayo Matangazo
USHAURI KWAO
Najua Wamefanya Filamu Nyingi na wamepata Pesa. Sasa Waende Kutafuta Ujuzi zaidi na Si kununua MAGARI ya Bei mbaya na NYUMBA za bei mbaya wakati ukipewa hata kazi ya Kutengeneza TANGAZO KAMA LA EPIC BONGO STAR SEARCH KAMPUNI YAKO HAIWEZI
Mi nauhakika hata Kama M-bongo mmoja au wawili wakienda Kusomea VISUAL EFFECTS/SPECIAL EFFECTS watabadili tasnia ya Filamu Tanzania...ingawa haitatosha watahitajika pia Sound Engineers na Wengine
Na hata siku Moja hawajaangalia Wenzao wanafanya nini katika Soko kuanzia la Kitaifa mpaka Kimataifa. FILAMU ZA KITANZANIA nazipa Mda tu zitaangamia kama NIGERIA
CHUKULIA MFANO: RAY
Juzi juzi tu hapa Ametoa Movie inayoitwa SOBBING SOUND... Katika wakati huo huo anajiandaa kutengeneza filamu kwa ajili ya RAMADHANI. sasa Mimi najiuliza hivi RAY anafanya Video shooting kwa Kufikiria Mwenyewe kama Wenzetu Walioendelea kifilamu au Kwa Matukio.? Mf ukitokea utapeli basi ataigiza UTAPELI? n.k
Sasa hapa ndo utaamini wanatafuta Pesa bila Kuangalia Je atakuwa Wapi Miaka 5-10 ijayo....
Tunaweza kusema Labda mitaji hatuna lakini kama Mtu unapenda kufanya Filamu utakuwa tayari kujitoa Muhanga ili ufike Mbali kimaigizo na Kiteknolojia Kwa kutumia Pesa ulizopata kununua Vifaa na Kwenda Kujifunza Elimu ya Filamu. Lakini kwa Wenzetu ni Ndoto kwenda kuSOMA wanaona wamefika na Wameshakuwa kama HOLLYWOOD.
Kuna Vitu vingine kama KUTENGENEZA FAKE BLOOD kwa kutumia Chocolate powder and red dye and blue dye ambavyo unaweza kupata Elimu hii YOUTUBE na Kupata Materials kwenye SUPERMARKET zetu. Lakini hili kwa Filamu zetu nyingi mpaka damu za wanyama zinatumika. Sasa badala ya Mtu kuAct Filamu Vizuri anafikiria DAMU ya Mnyama na kushindwa KUIGIZA Vizuri
LEO hii utashangaa Matangazo ya VODA,ZANTEL,TIGO yanatengenezwa na Makampuni ya NJE kama INDIA. Wakati kuna Makampuni ya Filamu Tanzania ambayo kama Yangekuwa yanateknolojia Nzuri Yangetengeneza hayo Matangazo
USHAURI KWAO
Najua Wamefanya Filamu Nyingi na wamepata Pesa. Sasa Waende Kutafuta Ujuzi zaidi na Si kununua MAGARI ya Bei mbaya na NYUMBA za bei mbaya wakati ukipewa hata kazi ya Kutengeneza TANGAZO KAMA LA EPIC BONGO STAR SEARCH KAMPUNI YAKO HAIWEZI
Mi nauhakika hata Kama M-bongo mmoja au wawili wakienda Kusomea VISUAL EFFECTS/SPECIAL EFFECTS watabadili tasnia ya Filamu Tanzania...ingawa haitatosha watahitajika pia Sound Engineers na Wengine