Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Hivi inakuwaje msanii wa kiume anaamua kuimba kama mwanamke. Mfano wimbo wa msanii mmoja ambaye hata simjui eti analalamika anateswa na mumewe kwa hiyo anaona bora arudi kwao kijijini akaendelee kukata mkaa, halafu eti anasema labda atayempenda hajazaliwa (realistically mwanamke hawezi kuwa na mawazo kama haya maana wao wanazeeka haraka kuliko wanaume kwa kawaida) muziki unatungwa bila kufikiri, halafu utashangaa eti wimbo kama huo una vuma na kuchukua nafasi kwenye chati zetu za kichovu za kibongo.
Kwa zamani nisingeshangaa kwa sababu hatukuwa na wasanii wa kike ndo maana hata kina Remmy ongala waliimba kama wanawake, lakini sio leo ambapo mtu unaweza kutunga wimbo na kuajiri mwimbaji wa kike.
Am so frustrated.
Jadili.
Kwa zamani nisingeshangaa kwa sababu hatukuwa na wasanii wa kike ndo maana hata kina Remmy ongala waliimba kama wanawake, lakini sio leo ambapo mtu unaweza kutunga wimbo na kuajiri mwimbaji wa kike.
Am so frustrated.
Jadili.