Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,285
Tungewachukulia poa as long as hawasemi 'my husband. Return me home' sisemi wanaume wasiimbe nyimbo za mapenzi.
Labda ni gay. . . . .
Tungewachukulia poa as long as hawasemi 'my husband. Return me home' sisemi wanaume wasiimbe nyimbo za mapenzi.
Ni zimwi la cameroon limewaingia hawa vijana babangu!Hivi inakuwaje msanii wa kiume anaamua kuimba kama mwanamke. Mfano wimbo wa msanii mmoja ambaye hata simjui eti analalamika anateswa na mumewe kwa hiyo anaona bora arudi kwao kijijini akaendelee kukata mkaa, halafu eti anasema labda atayempenda hajazaliwa (realistically mwanamke hawezi kuwa na mawazo kama haya maana wao wanazeeka haraka kuliko wanaume kwa kawaida) muziki unatungwa bila kufikiri, halafu utashangaa eti wimbo kama huo una vuma na kuchukua nafasi kwenye chati zetu za kichovu za kibongo.
Kwa zamani nisingeshangaa kwa sababu hatukuwa na wasanii wa kike ndo maana hata kina Remmy ongala waliimba kama wanawake, lakini sio leo ambapo mtu unaweza kutunga wimbo na kuajiri mwimbaji wa kike.
Am so frustrated.
Jadili.
Mbona kina Eminen wanaimba vya ajabu, tena na matusi lakini ndo mnazipendaaa. Acheni unazi.
Jamaa kaimba, mwenyewe alidhani kaoa kumbe kaolewa. Ametoka ameingiza chake mfukoni, maisha yake yanaendelea. Wewe endelea kukereka.
Wasiazime vipaji, wafanya shughuli zingine, hii ya muziki wawaachie wenye kipaji nayo.
hebu fanya kwanza nilivyokwambialabda unieleweshe mkuu, by the way, kwa nini unadhani nikiusilkiliza tena nitauelewa tofauti na ninavyouelewa sasa?
ahhaaaa kumbe ndo ninyi mnaowapigia kura wasanii wa bongo staa sachi ambao, ambao mara baada ya mashindano kuisha hawasikiki tena! Hebu niambie jumanne idi katoa single yake ya mwisho lini? Huyu alishinda shindano hilo miaka michache iliyopita kwa kura zako na watanzania wengine wenye mawazo kama yako
Hivi inakuwaje msanii wa kiume anaamua kuimba kama mwanamke. Mfano wimbo wa msanii mmoja ambaye hata simjui eti analalamika anateswa na mumewe kwa hiyo anaona bora arudi kwao kijijini akaendelee kukata mkaa, halafu eti anasema labda atayempenda hajazaliwa (realistically mwanamke hawezi kuwa na mawazo kama haya maana wao wanazeeka haraka kuliko wanaume kwa kawaida) muziki unatungwa bila kufikiri, halafu utashangaa eti wimbo kama huo una vuma na kuchukua nafasi kwenye chati zetu za kichovu za kibongo.
Kwa zamani nisingeshangaa kwa sababu hatukuwa na wasanii wa kike ndo maana hata kina Remmy ongala waliimba kama wanawake, lakini sio leo ambapo mtu unaweza kutunga wimbo na kuajiri mwimbaji wa kike.
Am so frustrated.
Jadili.
ahhaaaa kumbe ndo ninyi mnaowapigia kura wasanii wa Bongo Staa Sachi ambao, ambao mara baada ya mashindano kuisha hawasikiki tena! hebu niambie Jumanne Idi katoa single yake ya mwisho lini? huyu alishinda shindano hilo miaka michache iliyopita kwa kura zako na watanzania wengine wenye mawazo kama yako
Mkuu si kwamba anayelalamika kuteswa na kutishia kurudi kuchoma mkaa kijijini ni mwanaume?. Mtesaji ni mwanamke ambaye ana kipato si haba. Na ukiitazama video ya nyimbo hii nafasi ya mwanamke huyo inachezwa na Anti Ezekieli ambaye anafikia hadi hatua ya kumnyanyasa/kumfukuza mama wa mwanaume ndani ya video hiyo.