Habarini za saa hizi wote.
Kama mjuavyo siku zote katika kuanzisha biashara;-cha muhimu huwa ni wazo kwanza.mm binafsi nimepata wazo la kufungua pump ya kuuza mafuta ya taa hapa mtaani kwetu.naomba mwenye ufahamu wa kutosha anisaidie ufafanuzi kuhusu biashara hiyo.
nawasilisha ombi.
Kama mjuavyo siku zote katika kuanzisha biashara;-cha muhimu huwa ni wazo kwanza.mm binafsi nimepata wazo la kufungua pump ya kuuza mafuta ya taa hapa mtaani kwetu.naomba mwenye ufahamu wa kutosha anisaidie ufafanuzi kuhusu biashara hiyo.
nawasilisha ombi.