SECRET AGENT
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 252
- 488
Habari wana JF
Nimekaa nikawaza biashara ya kuuza gesi kwa kupima kutokana na kiwango cha pesa mtu alichonacho.
Kutokana na maisha kuwa magum mtaani sometimes unakuta mtu ameishiwa gesi kwenda kuchukua mwingine inakua shida kwa mfano mtungi mdogo ni elf 20+ .
Nikawaza mtu aanzishe biashara ambayo atakua na gas points sijui iitwaje ila iwe gas point au vituo ambapo yeye atakua na mitungi mikubwa ya gesi kifupi awe na store kubwa ya gesi kama vile sheli ya mafuta. Na kuwe na mpira maalum wa kurefill gesi kwenye mtungi ambao umeunganishwa na mfumo wa kiditali wa kusoma kiwango cha gesi kama vile mpira wa kurefill mafuta ulivyo.
Mteja ataenda na mtungi wake na atatoa kiwango cha pesa alichonacho, mfano nina elfu tano kwahiyo napimiwa gesi ya kiwango cha elf tano tu. Muuzaji ataingiza gesi ya elfu tano. Inamaana kutawekwa viwango mfano kuna gesi ya elfu moja, elf 2, elf 3 na kuendelea mbele.
Mwenye kufungua biashara hii anaweza kuwa na vituo vingi kwenye miji ili wateja wasisumbuke kufika kwenye vituo hivi vya kuuza gesi.
Nawasilisha. Ni wazo tu nlikua najaribu kuliwaza ila ni wazo ambalo litasaidia sana watu wa maisha ya chini kusurvive.
Nimekaa nikawaza biashara ya kuuza gesi kwa kupima kutokana na kiwango cha pesa mtu alichonacho.
Kutokana na maisha kuwa magum mtaani sometimes unakuta mtu ameishiwa gesi kwenda kuchukua mwingine inakua shida kwa mfano mtungi mdogo ni elf 20+ .
Nikawaza mtu aanzishe biashara ambayo atakua na gas points sijui iitwaje ila iwe gas point au vituo ambapo yeye atakua na mitungi mikubwa ya gesi kifupi awe na store kubwa ya gesi kama vile sheli ya mafuta. Na kuwe na mpira maalum wa kurefill gesi kwenye mtungi ambao umeunganishwa na mfumo wa kiditali wa kusoma kiwango cha gesi kama vile mpira wa kurefill mafuta ulivyo.
Mteja ataenda na mtungi wake na atatoa kiwango cha pesa alichonacho, mfano nina elfu tano kwahiyo napimiwa gesi ya kiwango cha elf tano tu. Muuzaji ataingiza gesi ya elfu tano. Inamaana kutawekwa viwango mfano kuna gesi ya elfu moja, elf 2, elf 3 na kuendelea mbele.
Mwenye kufungua biashara hii anaweza kuwa na vituo vingi kwenye miji ili wateja wasisumbuke kufika kwenye vituo hivi vya kuuza gesi.
Nawasilisha. Ni wazo tu nlikua najaribu kuliwaza ila ni wazo ambalo litasaidia sana watu wa maisha ya chini kusurvive.