JOGOO JINA
Member
- Nov 6, 2012
- 44
- 3
nchi inaelekea wapi!poleni majeruhi
hello madam, your the most DUMBEST and IDIOT in this jf. have a nice cook.
Nashauri msajili wa Vyama akifute Chadema. Vinginevyo yatatokea makubwa zaidi. Wamefanya kila wawezalo kuigombanisha serikali na wananchi wake.
Bomu tena Arusha. Inavyoonekana kulikuwa na njama za kumpata ama Lema au Mbowe. Watu wameumia sana.
Too bad!
Nchi inaingia katika Historia ya aina yake katika nyanja ya siasa.
wewe kwakua ni verified member waweza isaidia polis maana inaelekea unawajua waripuaji.
AFANDE MWEMA,KUNA POTENTIAL WITNESS HAPA.
Bomu tena Arusha. Inavyoonekana kulikuwa na njama za kumpata ama Lema au Mbowe. Watu wameumia sana.
Wanchi tumeshawajua Chadema.
Punguza munkari kamanda!!
mkuu, dont think kuwa kwenye kivuli cha hizi forums uko safe sana kuropoka kama taahira