Its logic kuwa ungepiga katikati ya kampeni viongozi wa chadema wangekuwa na fursa ya kuja na kuwapa moyo wapiga kura na hali kurudia kawaida lakini ukipiga leo viongozi hawana fursa nyingine ya kuongea na wapiga kura so wale waoga kama wewe hawatenda kupiga kupiga kura ila majasiri kama mimi tutaenda tuu hata kaama kufa tutakufa mbele ya sanduku la kura!!you get my logic ccm walijifunza mbinu hizi chafu Urusi na China!!kama ni ccm kwanini wasipige bomu mwanzo au katikati ya kampeni ili wawatishe watu wasihudhurie mikutano ya cdm?kwanini wasubiri hadi mikutano iishe na huo wa mwisho hadi amalize kuhutubia?wana gain nini hapa,maana logic ni kuwa wapigwa mabomu ndo watapata sympath ya watu na hivyo kuweza kupata kura kiulaini hapo kesho.swali ni NANI ANAHUSIKA HAPA?MAANA HILO BOMU LIKO KISIASA ZAIDI,KULIKO YALE MENGINE.
Kama hili tukio ni la kweli!!!!(maana tumezoea kusikia ripoti za udaku), basi tukiwa kama great thinkers tunatakiwa kufikiria kwa upana na kujiuliza maswali ya kawaida kabisa........" kama ni tukio la kisiasa, ni chama/watu gani watakaofaidika na hili tukio?????? NAONA PUBLIC THYMPACY MECHANISM waziwazi. Anaetafuta kuhurumiwa Mimi simjui ila watajionyesha tu humu. Imagine!!!! Vifo vya watu kwa faida za kisiasa,,,,,, WANASIASA NI JANGA LA TAIFAWakuu nitawapa updates soon
=====
Updates:
Mkutano ulishaisha, Mbowe akaanza kukusanya michango kama ilivyo kawaida kwa mikutano ya CHADEMA, ndipo ghafla kijana mmoja aliyekuwa amevaa kaptula ya jeans iliyoraruka kidogo akarusha bomu wakafa watatu
Usalama wa Taifa ...mko wapi? KINGA NI BORA KULIKO TIBA.........tokeni maofisini huko fanyeni kazi na wananhi mambo mengi mtagundua kabla hayajatokea.
Ni kwenye Mkutano wa Kampeni wa CHADEMA leo hii.Nawatafuta Viongozi pamoja na Mbunge kwenye simu muda huu sijawapata ila nimeongea na Mungi ambaye ni member wa hapa JF muda huu.Ameniambia majeruhi ni wengi,watu wamezirai.Naendelea kutafuta updates
Haijulikani Mlipuko huo umetokeaje hadi muda huu maana alishindwa kunieleza kutokana na kelele na taharuki zilizokua eneo hilo
Mashuhuda wanasema bomu lililolipuka lilikuwa limerushwa likiwa kwenye mfuko wa malboro
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums