Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi, kwa hisani ya mwana jf mwenzetu,
Nimefanikiwa kutembelea huko na kuiona sura ya masharti ya kukopa kutoka Exim Bank ya Uchina, japo mimi sio mtaalam wa uchumi, ila there is something fishy!.
Unapewa mkopo mkubwa mnene wa masharti nafuu ya ajabu with grace period ya miaka 20 ndipo uanze kulipa tena kwa riba ndogo ajabu ya asilimia 1% tuu kwa mwaka ili ushindwe kulipa, waichukue gesi yako na kulitaifisha bomba lao, waliendeshe mpaka watakapo recover fedha zao.
Niliposoma masharti ya awali, nikakuta mfano huu mkopo wetu wa Dola bilioni 1.2 utaanza kulipwa mwaka 2032!, ila katika hii miaka 20 ya grace period, kila mwaka tunatakiwa kulipa ile interest ya 1% ya dola bilioni 1.2 ni dola milioni 1.2 kwa mwaka!. Kwa ile miaka 20 tuu ya grace period, tutakuwa tumelipa riba ya dola milioni 24!. Hapo ndio kwanza bado hatujaanza kulipa ile principal ya mkopo huo!.
Wachumi na wana mahesabu hebu angalieni hii kitu na mtusaidie kutufafanulia siye tusio wachumi and correct me if I'm wrong!, kumbe hicho kinachodaiwa kuitwa ni grace period ya miaka 20 huku tukilipa interest, sio grace period lolote, sii chochote kwa sababu tunailipia interest kila mwaka!.
My Take:
Lengo sio kuibeza serikali tena mimi ni miongoni mwa wale ma supporter gesi ije Dar!, bali tunahitaji tuu uwazi Jee this time kwenye mkataba wa bomba la gesi, tumeingia mkataba wa aina gani?. Tutaulipa kwa miaka mingapi?, Ukipiga thamani ya mkopo ambao ni dola bilioni 1.2, kwa interest ya asilimia 1% kuanzia mwaka 2032, jee tutalipa deni kwa miaka mingapi?. Jee jumla tutakuwa tumelipa kiasi gani?!.
Tunaelezwa uchumi wa gesi ni uchumi mkubwa, kama ni uchumi mkubwa then tunaweza kulipa deni lote la US $ 1.2 ndani ya miaka 5 tuu ya uchumi wa gesi, hivyo interest itakuwa low, kwa Wachina hawa watulazimishe tusubiri hadi miaka 20 ipite, lakini katika miaka 20 hiyo wanatulipisha interest ya 1% kila mwaka?. Kwenye hiyo miaka 20 ya grace period na hadi deni lao lilipwe, hilo bomba, wana control wao!. Kwa uchumi mkubwa wa gesi, hii 20 years grace period ya nini?.
Paskali
Update.
Nimepata majibu ya baadhi ya maswali yangu na kujiridhisha hizi concession loans toka Exim Bank of China are the best
Pasco kama unavyofahamu ukiachilia mikopo inayotolewa na Benki chini ya dirisha la Sharia (ambapo akaunti ya akina haipati riba, na mikopo inayotolewa haitozwi riba), mikopo mingine yote hutozwa riba. Viwango vya riba huwa determined na factors nyingi ikiwa ni pamoja na maelewano baina ya mkopaji na mkopeshaji.
Mara nyingi riba kwa miradi mikubwa ya maendeleo hutozwa riba ya kuanzia asilimia 2.5 hadi asilimia 7. Asilimia 80 ya Consessional loan iliyotolewa na China riba yake ni below hizo standard rate, yaani asilmia moja tu. kwa tafsiri nyingine ni kwamba mkopo wa aina hiyo ni almost kama msaada. Malipo yake yataanza kifanyika miaka 20 ijayo. Kwa maneno mengine deni litaanza kulipwa mwaka 2032.
Maelezo kamili ya tafsiri ya consessional loan angalia hapo chini:
Chinese Government Concessional Loan (hereafter referred as Concessional Loan) refers to the medium
long-term, low interest rate credit extended by China Eximbank under the designation of the Chinese
Government with the nature of official assistance.
For more details nenda: 报错页面
Nimefanikiwa kutembelea huko na kuiona sura ya masharti ya kukopa kutoka Exim Bank ya Uchina, japo mimi sio mtaalam wa uchumi, ila there is something fishy!.
Unapewa mkopo mkubwa mnene wa masharti nafuu ya ajabu with grace period ya miaka 20 ndipo uanze kulipa tena kwa riba ndogo ajabu ya asilimia 1% tuu kwa mwaka ili ushindwe kulipa, waichukue gesi yako na kulitaifisha bomba lao, waliendeshe mpaka watakapo recover fedha zao.
Niliposoma masharti ya awali, nikakuta mfano huu mkopo wetu wa Dola bilioni 1.2 utaanza kulipwa mwaka 2032!, ila katika hii miaka 20 ya grace period, kila mwaka tunatakiwa kulipa ile interest ya 1% ya dola bilioni 1.2 ni dola milioni 1.2 kwa mwaka!. Kwa ile miaka 20 tuu ya grace period, tutakuwa tumelipa riba ya dola milioni 24!. Hapo ndio kwanza bado hatujaanza kulipa ile principal ya mkopo huo!.
Wachumi na wana mahesabu hebu angalieni hii kitu na mtusaidie kutufafanulia siye tusio wachumi and correct me if I'm wrong!, kumbe hicho kinachodaiwa kuitwa ni grace period ya miaka 20 huku tukilipa interest, sio grace period lolote, sii chochote kwa sababu tunailipia interest kila mwaka!.
My Take:
Lengo sio kuibeza serikali tena mimi ni miongoni mwa wale ma supporter gesi ije Dar!, bali tunahitaji tuu uwazi Jee this time kwenye mkataba wa bomba la gesi, tumeingia mkataba wa aina gani?. Tutaulipa kwa miaka mingapi?, Ukipiga thamani ya mkopo ambao ni dola bilioni 1.2, kwa interest ya asilimia 1% kuanzia mwaka 2032, jee tutalipa deni kwa miaka mingapi?. Jee jumla tutakuwa tumelipa kiasi gani?!.
Tunaelezwa uchumi wa gesi ni uchumi mkubwa, kama ni uchumi mkubwa then tunaweza kulipa deni lote la US $ 1.2 ndani ya miaka 5 tuu ya uchumi wa gesi, hivyo interest itakuwa low, kwa Wachina hawa watulazimishe tusubiri hadi miaka 20 ipite, lakini katika miaka 20 hiyo wanatulipisha interest ya 1% kila mwaka?. Kwenye hiyo miaka 20 ya grace period na hadi deni lao lilipwe, hilo bomba, wana control wao!. Kwa uchumi mkubwa wa gesi, hii 20 years grace period ya nini?.
Paskali
Update.
Nimepata majibu ya baadhi ya maswali yangu na kujiridhisha hizi concession loans toka Exim Bank of China are the best
Kama unalipa interest ya 1% kwa principle ya miaka 30 nyuma ni sawa na kupewa pesa bure! kwa sababu miaka 30 ijayo $1.2B itakuwa na thamani kubwa sana kuliko sasa hivi.,
As far as interest is concerned this is a very good deal. very good. Hakuna commercial bank itakupa pesa kwa terms hizo duniani., hiyo interest ya 1% tena bila grace period wanalipa Tripple A credit rated countries, sio sie masikini kunuka.
Hapa ni sawa na tunatumia pesa za watu BURE.
nadhani rationale ni kuwa in 20 years bomba litakuwa fully utilised hence, justifying kuanza kulipa principle amount.
50% discounted by inflation and depreciation is no longer 50% ni kazi sana kuelewa kama huelewi depreciation inavyofanya kazi. as long as your interest is below inflation, YOU are not PAYING anything.., financially YOU are being paid.,
ngoja nikupe mfano rahisi.
kama ulikuwa na 100 interest ni 1% ina maana unadaiwa 101.
lakini kama inflation ni 5% ina maana kuwa in real terms unalipa 101-5% kwa hiyo unadaiwa 96 tu. sasa badala ya deni kuongezeka limepungua.
Hapo bado hujaweka depreciation ya USD. Ndio maana mabenki ya kitanzania rate yao huwa Rate of BOT+Inflation+depreciation+ Their costs= >15%. benki ya kitanzania ikikukupoesha chini ya Inflation+Depreciatio+BOT rate wanaingia hasara.., ndio maana rate ya mikopo ya ndani haiwezi kamwe kupungua asilimia 10 kwa hali ya kawaida. na ndio maana serikali haishauriwi kukopa ndani. rate kubwa mno. rahisi kukopa nje ambako rate ya inflation+depreciation iko chini zaidi.
Nadhani TUMEELEWANA.
nadhani grace period inaonesha jinsi gani uhalisia wa uchumi wa gesi ni wa muda mrefu. na sio kitu cha upesi upesi. Mfano LNG plant plan ni kuanza kujenga 2023(earliest), tayari ni miaka 10+ toka siku tumekuwa na bomba, Ukiweka miaka mingine 5 ya ujenzi na operations tayari ni 15 years toka tumejenga.
Projects za infrastructure ni za muda mrefu sana. TUENDELEE kuomba mungu CHINA ipo, inatusaidi kwa financing za aina hii. kwani hazitakuwa wazi milele.
Biashara yoyote inatakiwa ilipe mkopo kutokana na kipato cha uzalishaji, sasa hivi bomba liko utilized 6% tu(kutoka ripoti ya CAG). hivyo basi naamini kabisa hawajafika Break Even.
Sijui Break Even analysis yao ni baada ya muda gani na ni subject to utilization ya asilimia ngapi, lakini if i were to put conservative estimates it should be no less than 15 years and no less than 70% utilization. Hapo ndio bomba litaweza kulipa mkopo wa benki bila kutumia pesa za kodi.
Obviously kama uchumi ungekuwa unapaa, na bomba likawa full utilized mapema ingekuwa poa zaidi.,
Looking back miaka 20 tuliyokubaliana na wachina umekuwa uamuzi sahihi na sio miaka 5 kwa sababu ingekuwa inaexpire mwakani na bado bomba liko 6% utilized. Ingekuwa disaster kubwa financially kama tusingekuwa na grace period ya 20 years.