Bomba la Gesi Mtwara:A "20 -Year Grace Period" ya Mkopo wa Exim Bank-China ni "Changa la Macho?!".

Wanabodi, kwa hisani ya mwana jf mwenzetu,



Nimefanikiwa kutembelea huko na kuiona sura ya masharti ya kukopa kutoka Exim Bank ya Uchina, japo mimi sio mtaalam wa uchumi, ila there is something fishy!.

Unapewa mkopo mkubwa mnene wa masharti nafuu ya ajabu with grace period ya miaka 20 ndipo uanze kulipa tena kwa riba ndogo ajabu ya asilimia 1% tuu kwa mwaka!.

Niliposoma masharti ya awali, nikakuta mfano huu mkopo wetu wa Dola bilioni 1.2 utaanza kulipwa mwaka 2032!, ila katika hii miaka 20 ya grace period, kila mwaka tunatakiwa kulipa ile interest ya 1% ya dola bilioni 1.2 ni dola milioni 1.2 kwa mwaka!. Kwa ile miaka 20 tuu ya grace period, tutakuwa tumelipa riba ya dola milioni 24!. Hapo ndio kwanza bado hatujaanza kulipa ile principal ya mkopo huo!.

Wachumi na wana mahesabu hebu angalieni hii kitu na mtusaidie kutufafanulia siye tusio wachumi and correct me if I'm wrong!, kumbe hicho kinachodaiwa kuitwa ni grace period ya miaka 20 huku tukilipa interest, sio grace period lolote, sii chochote kwa sababu tunailipia interest kila mwaka!.

My Take:
Lengo sio kuibeza serikali tena mimi ni miongoni mwa wale ma supporter gesi ije Dar!, bali tunahitaji tuu uwazi Jee this time kwenye mkataba wa bomba la gesi, tumeingia mkataba wa aina gani?. Tutaulipa kwa miaka mingapi?, Ukipiga thamani ya mkopo ambao ni dola bilioni 1.2, kwa interest ya asilimia 1% kuanzia mwaka 2032, jee tutalipa deni kwa miaka mingapi?. Jee jumla tutakuwa tumelipa kiasi gani?!.

Tunaelezwa uchumi wa gesi ni uchumi mkubwa, kama ni uchumi mkubwa then tunaweza kulipa deni lote la US $ 1.2 ndani ya miaka 5 tuu ya uchumi wa gesi, hivyo interest itakuwa low, kwa Wachina hawa watulazimishe tusubiri hadi miaka 20 ipite, lakini katika miaka 20 hiyo wanatulipisha interest kila mwaka?.

Paskali
Update.
Nimepata majibu ya baadhi ya maswali yangu na kujiridhisha hizi concession loans toka Exim Bank of China are the best
Kwanza kabisa 1% ya $1.2 bil ni $12m siyo $1.2m:). Kwa hiyo 12x20 ni $240m
 
Kuna document moja ya msingi sana kuhusu maslahi ya China katika Afrika. Ina somo zuri sana la namna ya kuichukulia kwa tahadhari misaada ya China kwa Afrika. Mwenye nafasi na aisome ni nzuri sana, naiweka hapa kama attachment
Mkuu hukutegemea Carnegie ku-shabikia mChina?
 
Wanabodi, kwa hisani ya mwana jf mwenzetu,



Nimefanikiwa kutembelea huko na kuiona sura ya masharti ya kukopa kutoka Exim Bank ya Uchina, japo mimi sio mtaalam wa uchumi, ila there is something fishy!.

Unapewa mkopo mkubwa mnene wa masharti nafuu ya ajabu with grace period ya miaka 20 ndipo uanze kulipa tena kwa riba ndogo ajabu ya asilimia 1% tuu kwa mwaka!.

Niliposoma masharti ya awali, nikakuta mfano huu mkopo wetu wa Dola bilioni 1.2 utaanza kulipwa mwaka 2032!, ila katika hii miaka 20 ya grace period, kila mwaka tunatakiwa kulipa ile interest ya 1% ya dola bilioni 1.2 ni dola milioni 1.2 kwa mwaka!. Kwa ile miaka 20 tuu ya grace period, tutakuwa tumelipa riba ya dola milioni 24!. Hapo ndio kwanza bado hatujaanza kulipa ile principal ya mkopo huo!.

Wachumi na wana mahesabu hebu angalieni hii kitu na mtusaidie kutufafanulia siye tusio wachumi and correct me if I'm wrong!, kumbe hicho kinachodaiwa kuitwa ni grace period ya miaka 20 huku tukilipa interest, sio grace period lolote, sii chochote kwa sababu tunailipia interest kila mwaka!.

My Take:
Lengo sio kuibeza serikali tena mimi ni miongoni mwa wale ma supporter gesi ije Dar!, bali tunahitaji tuu uwazi Jee this time kwenye mkataba wa bomba la gesi, tumeingia mkataba wa aina gani?. Tutaulipa kwa miaka mingapi?, Ukipiga thamani ya mkopo ambao ni dola bilioni 1.2, kwa interest ya asilimia 1% kuanzia mwaka 2032, jee tutalipa deni kwa miaka mingapi?. Jee jumla tutakuwa tumelipa kiasi gani?!.

Tunaelezwa uchumi wa gesi ni uchumi mkubwa, kama ni uchumi mkubwa then tunaweza kulipa deni lote la US $ 1.2 ndani ya miaka 5 tuu ya uchumi wa gesi, hivyo interest itakuwa low, kwa Wachina hawa watulazimishe tusubiri hadi miaka 20 ipite, lakini katika miaka 20 hiyo wanatulipisha interest kila mwaka?.

Paskali
Update.
Nimepata majibu ya baadhi ya maswali yangu na kujiridhisha hizi concession loans toka Exim Bank of China are the best

Wachumi wangeangalia the other side kwa maana hiyo $1.2 inatoka wapi kama kutokana na uzalishaji hapo sawa, na uwezi kopa bure pesa ya watu siku nyingine kawaulize waliomba mkopo ili wakwambie waliomba kufanyia nini na mkopo utakuwa unazalisha $ ngapi manake na nyie waandishi wa bongo wakati mwingine mnakuwa kama wahubiri wa mihadhara mnanyofoa kakipande ka aya halafu mnakasimamia vidole gumba kuchanganya watu. Kwenye b ukilipa 1% si peanut, ila kama mmetumia kupelekea vimada Dubai na kuweka heshima bar itakuwa so.
 
Kwanza kabisa 1% ya $1.2 bil ni $12m siyo $1.2m:). Kwa hiyo 12x20 ni $240m

Haha, nami nilitaka sema kama weye jamaa hesabu imempita kidogo!! Ila pamoja na hayo tukumbuke mchina ananufaika Mara mbili ktk mikopo ya namna hii!! Kwanza riba na deni halisi pia mtaji huo hurejea wote kwake...

Yaani Exim wakikukopesha 20B kwaajili ya mradi fulani sharti la kwanza ni kuwa hiyo tender lazima uwape wao!! That means hiyo 20B itarudi kwao kwakua ndo utawapa zabuni kisha deni Lao litabaki pale pale na faida juu!!!

Simply hela ya bomba la gesi wameila kwa kulipwa kama contractors pili wataila kama rejesho la mkopo.

Hivi ni vitu ambavyo waandishi wetu hawana uwezo wa kung’amua.
 
Nadhani ipo haja kwa TZ kutafuta rais Mzalendo zaidi ambae atakataa madeni yote ambayo yalikopwa na watangulizi wake ambao si wazalendo unakopaje ww deni alipe mwenzio unajua kipindi chako ni miaka 10 tu.mwenzio aje akope nn ?
Kwani akikopa anatumia Rais na familia yake au taifa ndo linatumia
 
Wanabodi, kwa hisani ya mwana jf mwenzetu,



Nimefanikiwa kutembelea huko na kuiona sura ya masharti ya kukopa kutoka Exim Bank ya Uchina, japo mimi sio mtaalam wa uchumi, ila there is something fishy!.

Unapewa mkopo mkubwa mnene wa masharti nafuu ya ajabu with grace period ya miaka 20 ndipo uanze kulipa tena kwa riba ndogo ajabu ya asilimia 1% tuu kwa mwaka!.

Niliposoma masharti ya awali, nikakuta mfano huu mkopo wetu wa Dola bilioni 1.2 utaanza kulipwa mwaka 2032!, ila katika hii miaka 20 ya grace period, kila mwaka tunatakiwa kulipa ile interest ya 1% ya dola bilioni 1.2 ni dola milioni 1.2 kwa mwaka!. Kwa ile miaka 20 tuu ya grace period, tutakuwa tumelipa riba ya dola milioni 24!. Hapo ndio kwanza bado hatujaanza kulipa ile principal ya mkopo huo!.

Wachumi na wana mahesabu hebu angalieni hii kitu na mtusaidie kutufafanulia siye tusio wachumi and correct me if I'm wrong!, kumbe hicho kinachodaiwa kuitwa ni grace period ya miaka 20 huku tukilipa interest, sio grace period lolote, sii chochote kwa sababu tunailipia interest kila mwaka!.

My Take:
Lengo sio kuibeza serikali tena mimi ni miongoni mwa wale ma supporter gesi ije Dar!, bali tunahitaji tuu uwazi Jee this time kwenye mkataba wa bomba la gesi, tumeingia mkataba wa aina gani?. Tutaulipa kwa miaka mingapi?, Ukipiga thamani ya mkopo ambao ni dola bilioni 1.2, kwa interest ya asilimia 1% kuanzia mwaka 2032, jee tutalipa deni kwa miaka mingapi?. Jee jumla tutakuwa tumelipa kiasi gani?!.

Tunaelezwa uchumi wa gesi ni uchumi mkubwa, kama ni uchumi mkubwa then tunaweza kulipa deni lote la US $ 1.2 ndani ya miaka 5 tuu ya uchumi wa gesi, hivyo interest itakuwa low, kwa Wachina hawa watulazimishe tusubiri hadi miaka 20 ipite, lakini katika miaka 20 hiyo wanatulipisha interest kila mwaka?.

Paskali
Update.
Nimepata majibu ya baadhi ya maswali yangu na kujiridhisha hizi concession loans toka Exim Bank of China are the best
Mkuu Pasco!
Nakusalim!
1. Mwanzo Wanamtwara walitaka mitambo ya kuzalisha umeme ijengwe huko ili umeme usafirishwe mpaka Dar kwa mawaya. Ikaamuliwa gesi iletwe Dar halafu umeme upelekwe Mtwara kwa mawaya!
2. Nasikia kumbe gesi nyingi ya Mtwara sio yetu, ni ya walioigundua!
3. Kwahiyo bomba la gesi tulokopa ndio litakuwa letu baada ya miaka 20 ya gresi-piriod, jumlisha na muda wa kulipa mkopo wenyewe utakaoanza kulipwa (2018+20) 2038!
4. Nasikia gesi "yetu" nyingine nyingi ya Mtwara inapelekwa Ulaya kwa bomba lingine ambalo sio letu, ni la "wenye-gesi".
5. Swali langu:
a. Kwanini hatukukopa ili kujenga bomba la Ulaya ili angalao wazungu watulipe kwa kupitisha gesi 'yao' ktk bomba letu?
Au kwanini hatukukopa meli (oil tank) ili tuwasafirishie gesi wazungu na wengine kwa malipo tutakayokubaliana?

Nasikia tuna chuma na mkaa wa mawe Liganga huko Kusini, halafu tuna mto mkubwa Stiegler's Gorge.
Swali langu:
a. Hiyo chuma na mkaa wa mawe ni mali yetu au ya walioigundua?
b. Kama ni mali yetu, kwanini tusitumie makaa hayo kuzalisha umeme kule uliko halafu tusambaze umeme nchini kwa mawaya? Au tutaleta makaa Dar ili kuzalisha nishati kama tulivyofanya kwa gesi ya Mtwara?
Lini tutajenga kiwanda cha chuma huko Liganga ili kuzalisha machuma ya kusapoti na kuongeza kasi ya industrialization?
Mwisho, kwanini tusitunge sheria, kwamba kuanzia sasa chochote kilichopo chini ya ardhi ya Tanzania ni mali ya Watanzania hata kama kitu au mali hiyo itagunduliwa na mtu yeyote; na kwamba mgunduzi atalipwa gharama za mgunduzi/utaalamu wake kwa makubaliano kabla ya kuanza 'ugunduzi'; kwa fixed area na fixed time; Kama tufanyavyo kwa wakandarasi wa barabara na madaraja?
Nawasilisha!
 
Mkopo mkubwa wa trillions tuliokopa kichaa hazungumzii tena umeme wa gesi naona ndiyo umeshakufa kibudu. Huyoooooo kakimbilia stiegler gorge!!!! Yaani hii nchi kwenye mipango ni SIFURI! Chama kile kile kiko madarakani badala ya kuhitimisha kwanza miradi ya miaka ya nyuma wamerukia miradi mipya tena yenye gharama kubwa sana bila kujali hali ya liquidity ya nchi. 🙉

Wanabodi, kwa hisani ya mwana jf mwenzetu,



Nimefanikiwa kutembelea huko na kuiona sura ya masharti ya kukopa kutoka Exim Bank ya Uchina, japo mimi sio mtaalam wa uchumi, ila there is something fishy!.

Unapewa mkopo mkubwa mnene wa masharti nafuu ya ajabu with grace period ya miaka 20 ndipo uanze kulipa tena kwa riba ndogo ajabu ya asilimia 1% tuu kwa mwaka!.

Niliposoma masharti ya awali, nikakuta mfano huu mkopo wetu wa Dola bilioni 1.2 utaanza kulipwa mwaka 2032!, ila katika hii miaka 20 ya grace period, kila mwaka tunatakiwa kulipa ile interest ya 1% ya dola bilioni 1.2 ni dola milioni 1.2 kwa mwaka!. Kwa ile miaka 20 tuu ya grace period, tutakuwa tumelipa riba ya dola milioni 24!. Hapo ndio kwanza bado hatujaanza kulipa ile principal ya mkopo huo!.

Wachumi na wana mahesabu hebu angalieni hii kitu na mtusaidie kutufafanulia siye tusio wachumi and correct me if I'm wrong!, kumbe hicho kinachodaiwa kuitwa ni grace period ya miaka 20 huku tukilipa interest, sio grace period lolote, sii chochote kwa sababu tunailipia interest kila mwaka!.

My Take:
Lengo sio kuibeza serikali tena mimi ni miongoni mwa wale ma supporter gesi ije Dar!, bali tunahitaji tuu uwazi Jee this time kwenye mkataba wa bomba la gesi, tumeingia mkataba wa aina gani?. Tutaulipa kwa miaka mingapi?, Ukipiga thamani ya mkopo ambao ni dola bilioni 1.2, kwa interest ya asilimia 1% kuanzia mwaka 2032, jee tutalipa deni kwa miaka mingapi?. Jee jumla tutakuwa tumelipa kiasi gani?!.

Tunaelezwa uchumi wa gesi ni uchumi mkubwa, kama ni uchumi mkubwa then tunaweza kulipa deni lote la US $ 1.2 ndani ya miaka 5 tuu ya uchumi wa gesi, hivyo interest itakuwa low, kwa Wachina hawa watulazimishe tusubiri hadi miaka 20 ipite, lakini katika miaka 20 hiyo wanatulipisha interest kila mwaka?.

Paskali
Update.
Nimepata majibu ya baadhi ya maswali yangu na kujiridhisha hizi concession loans toka Exim Bank of China are the best
 
Samahani kama nitakukwanza ila UNAONEKANA UNA AKILI ZA KUUNGA UNGA SANA.. Samahani sana.. HUNA UJUZI NA UCHANGANUZI WA MASUALA YA NISHATI WALA KUJUA GHARAMA ZA MIRADI JINSI INAVYOCHANGANULIWA..
Mkuu Anotonia, kwanza ni kweli, kwa upande wa akili zangu ni za kuunga unga sana, pia nakiri sina ujuzi na uchanganuzi wa masuala ya nishati wala kujua gharama, karibu utusaidie hapa kutumia ujuzi wako wa uchanganuzi.
P
 
Wanabodi, kwa hisani ya mwana jf mwenzetu,



Nimefanikiwa kutembelea huko na kuiona sura ya masharti ya kukopa kutoka Exim Bank ya Uchina, japo mimi sio mtaalam wa uchumi, ila there is something fishy!.

Unapewa mkopo mkubwa mnene wa masharti nafuu ya ajabu with grace period ya miaka 20 ndipo uanze kulipa tena kwa riba ndogo ajabu ya asilimia 1% tuu kwa mwaka ili ushindwe kulipa, waichukue gesi yako na kulitaifisha bomba lao, waliendeshe mpaka watakapo recover fedha zao.

Niliposoma masharti ya awali, nikakuta mfano huu mkopo wetu wa Dola bilioni 1.2 utaanza kulipwa mwaka 2032!, ila katika hii miaka 20 ya grace period, kila mwaka tunatakiwa kulipa ile interest ya 1% ya dola bilioni 1.2 ni dola milioni 1.2 kwa mwaka!. Kwa ile miaka 20 tuu ya grace period, tutakuwa tumelipa riba ya dola milioni 24!. Hapo ndio kwanza bado hatujaanza kulipa ile principal ya mkopo huo!.

Wachumi na wana mahesabu hebu angalieni hii kitu na mtusaidie kutufafanulia siye tusio wachumi and correct me if I'm wrong!, kumbe hicho kinachodaiwa kuitwa ni grace period ya miaka 20 huku tukilipa interest, sio grace period lolote, sii chochote kwa sababu tunailipia interest kila mwaka!.

My Take:
Lengo sio kuibeza serikali tena mimi ni miongoni mwa wale ma supporter gesi ije Dar!, bali tunahitaji tuu uwazi Jee this time kwenye mkataba wa bomba la gesi, tumeingia mkataba wa aina gani?. Tutaulipa kwa miaka mingapi?, Ukipiga thamani ya mkopo ambao ni dola bilioni 1.2, kwa interest ya asilimia 1% kuanzia mwaka 2032, jee tutalipa deni kwa miaka mingapi?. Jee jumla tutakuwa tumelipa kiasi gani?!.

Tunaelezwa uchumi wa gesi ni uchumi mkubwa, kama ni uchumi mkubwa then tunaweza kulipa deni lote la US $ 1.2 ndani ya miaka 5 tuu ya uchumi wa gesi, hivyo interest itakuwa low, kwa Wachina hawa watulazimishe tusubiri hadi miaka 20 ipite, lakini katika miaka 20 hiyo wanatulipisha interest ya 1% kila mwaka?. Kwenye hiyo miaka 20 ya grace period na hadi deni lao lilipwe, hilo bomba, wana control wao!. Kwa uchumi mkubwa wa gesi, hii 20 years grace period ya nini?.

Paskali
Update.
Nimepata majibu ya baadhi ya maswali yangu na kujiridhisha hizi concession loans toka Exim Bank of China are the best

the question to ask ourselves is, when will the loan amortize?
If the armotization schedule is having the grace period of 20yrs, that is not an issue, coz you can create a sinking fund to save the same amount of money which you where supposed to service the loan during the whole grace period.
Bigest issues are the cost of installing those plants ad equipments if genuine. Also the PPA is also another issue. How much are they charging per kWh?
 
Mchina wa leo, sio wa enzi za akina Mao waliokuwa wajamaa. Hawa wa sasa ni mabepari na wakoloni wapya na wabaguzi wa rangi. Soma hapa nini Kenya walikipitia wakati wa ujenzi wa SGR yao

Hapa Tanzania mkoani Geita miaka 3 iliyopita, kuna Wachina walipigwa picha wakimpiga Mtanzania makonde kwa tuhuma ya wizi wa madini. Kwa muonekano wa ile video clip, it was inhuman kipinga Mtz mwenzetu kikatili namna ile. Hatuwachukii Wachina ila kuna haja ya kuwa na tahadhari nao sana tu.

Kwa SGR ya Kenya tunaweza kujifunza jambo la muhimu sana... pitia hii link hapa Chini..
Data zaonesha Cargo inayosafirishwa na SGR ya Kenya ni tani 7.8 (makontena toka Duniani kuingia Kenya kupitia Bandari ya Mombasa) na Kenya inasafirisha tani 1.01 kupeleka duniani kupitia SGR ya Mchina na bandari ya Mombasa.

Funzo kwa Tanzania.
Ninaipongeza sana sana Serikali ya JPM kujenga SGR itakayofika Mwanza, Kigoma na Rwanda. Kwa nilichojifunza kwa mzee Dr. Mzindakaya akitupa uzoefu wa Nyerere model; serikali ilikuwa na mkakati wa kuzalisha viwanda kwa kuwapiga jeki watu wake.
Ili nasi SGR siku inazinduliwa, inatakiwa tuwe na lots of containers carried back via SGR via Dar port kusafirisha finished products kwenda duniani made in Tanzania. SGR yatu isiwe inaingiza tu from Duniani to Tz, ila pia kuna mambo mengi ya uzalishaji ambao na sisi Tanzania tuwe tunafanya kukuza uchumi wetu wa kupata forex kupitia mauzo ya finished added value produce to Tz.

Kama kwenye gas tushapigwa na kwa kuwa tusha-sign, basi tuwe smart kwa miradi ya sasa zaidi sana, Watanzania tuwe sehemu ya mchezo kwenye kukuza uchumi
 
Hivi wachina kati ya visima vilivyochorongwa kuna hata kimoja wachina walichoronga watachukuaje gesi ambayo visima ni vya wanorway wamarekani waholanzi na wabrazil na waingereza nchi ccm wameiweka rehani
 
Mkuu Pasco!
Nakusalim!

Mwisho, kwanini tusitunge sheria, kwamba kuanzia sasa chochote kilichopo chini ya ardhi ya Tanzania ni mali ya Watanzania hata kama kitu au mali hiyo itagunduliwa na mtu yeyote; na kwamba mgunduzi atalipwa gharama za mgunduzi/utaalamu wake kwa makubaliano kabla ya kuanza 'ugunduzi'; kwa fixed area na fixed time; Kama tufanyavyo kwa wakandarasi wa barabara na madaraja?
Nawasilisha!
Mkuu Shoctopus, katika eneo hili ndilo Magufuli na Kabudi wamecheza kama Pele, tumebadili sheria za extractive industry, serikali inamiliki 16% ya shares, hivyo this is the first time in history of Tanzania, madini ni yetu na gesi ni yetu. Kabla ya sheria hii, kila kitu kulikuwa ni mali ya muwekezaji sisi chetu ni kodi na mrahaba yaani royalty.

Sasa angalau tutafaidika na rasilimali zetu.
For this big up sana kwa Magufuli, big up kwa Kabudi na big up kwetu sisi Watanzania wote tunaopigia kelele wizi wa rasilimali zetu, tukiwemo sisi jf na likiwemo bandiko hili.
P
 
Back
Top Bottom