Ina maana katika investment ya bomba tunategemea mradi huo utengemae lini na return on investment ianze kuonekana lini??after 20 years??? Huoni hapa ndo tunapojiumiza wenyewe??Why should it take such a long time?? Kama hela inakuja then yote inakuwa directed kwenye mradi husika, kwann tukae miaka 20?? Tatizo letu ni kukopa kwa ajili ya bomba la gesi, then hela ikifika, tunaanza kuitumia kwenye safari za Rais na kulipana mishahara na kufacilitate vikao.
After all is it worth kujenga bomba tu kwa mihela yote hiyo?? Trilion 1.8? Is it really worth?? Hiyo hela ingeshindwa kunnua mtambo wa kufua umeme na kujenga grid mpya ya taifa na kusambaza umeme huko kusin? No wonder tunaburuzwa hivi kwenye ujenzi wa hilo bomba, kumbe kuna hela ndefu hivi???Ujenzi wa hili bomba inabidi tuutazame kwa microscopic eyes. Tutalizwa tu mana tunaelekea kwenye uchaguzi wa 2015.
Wabongo tumerogwa si bure. Hivi mtwara hawawezi kuzalisha umeme? mpaka dar