Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu tusaidieni

msomso

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
464
152
Ndugu zangu bodi ya mikopo hili tatizo letu la mikopo ilioenda sehem nyingine na tulipochaguliwa mmefikia wapi kulitatua njaaa inatuuuma sana ,kuna wengine ni watoto YATIMA mnategemea waishije?Mlitoa ndani ya siku 60 mtakuwa mmetatua mbona mpaka sasa kimya?

NB:Ikifika juma tano ya wiki hii SAA sita mchana hamjaleta majina yetu tusaini tutaenda kwenye vyombo vya habari kueleza wapi mikopo yetu ilipoenda na kwa nini mpaka sasa hamjaileta tulipo. Tumechoka kusubiri mmetupa siku sitini ambazo ni nyingi sana tumesubiri lakini mpaka sasa kimya .Kimsingi kwa kutumia mamlaka yenu mngeweza kuagiza vyuo ambapo mikopo yetu imeenda wailudishe Mara moja Bodi kuliko kukaaa mnawasubiri,Vivyo hivyo mmeshindwa majukumu yenu pia mngeweza kuagiza vyuo tulivyopo kwa kuwa tayari sisi tunamikopo viweze kutukopesha ili tuweze kuendelea na masomo vizuri .
Sasa tumechoka kusubiri ikifika jumatano SAA sita mchana hamjaleta majina yetu tusaini tunaenda kuwashitaki kwa watanzania.
 
Ndugu zangu bodi ya mikopo hili tatizo letu la mikopo ilioenda sehem nyingine na tulipochaguliwa mmefikia wapi kulitatua njaaa inatuuuma sana ,kuna wengine ni watoto YATIMA mnategemea waishije?Mlitoa ndani ya siku 60 mtakuwa mmetatua mbona mpaka sasa kimya?

NB:Ikifika juma tano ya wiki hii SAA sita mchana hamjaleta majina yetu tusaini tutaenda kwenye vyombo vya habari kueleza wapi mikopo yetu ilipoenda na kwa nini mpaka sasa hamjaileta tulipo. Tumechoka kusubiri mmetupa siku sitini ambazo ni nyingi sana tumesubiri lakini mpaka sasa kimya .Kimsingi kwa kutumia mamlaka yenu mngeweza kuagiza vyuo ambapo mikopo yetu imeenda wailudishe Mara moja Bodi kuliko kukaaa mnawasubiri,Vivyo hivyo mmeshindwa majukumu yenu pia mngeweza kuagiza vyuo tulivyopo kwa kuwa tayari sisi tunamikopo viweze kutukopesha ili tuweze kuendelea na masomo vizuri .
Sasa tumechoka kusubiri ikifika jumatano SAA sita mchana hamjaleta majina yetu tusaini tunaenda kuwashitaki kwa watanzania.
 
tatizo sisi watanzania hatujui haki zetu kama tuliambiwa ni baada ya siku sitini na zimeshapita sisi bado tunashindia mandazi mawili na chai kwa nini tusiende wizara ya elimu tukawaelezee tukiwa pamoja na wale wa transfer kwa nini tukubali hela zetu zifanyiwe biashara kwanza tuamke jamani afya zetu zitazorota kwa ugumu wa maisha tunayoishi
 
#Refrect master #ulivyoongea sahihi wewe upo chuo gani mkuu yaaani hawa jamaaa hawana utu hata kidogo
 
Ndugu zangu bodi ya mikopo hili tatizo letu la mikopo ilioenda sehem nyingine na tulipochaguliwa mmefikia wapi kulitatua njaaa inatuuuma sana ,kuna wengine ni watoto YATIMA mnategemea waishije?Mlitoa ndani ya siku 60 mtakuwa mmetatua mbona mpaka sasa kimya?

NB:Ikifika juma tano ya wiki hii SAA sita mchana hamjaleta majina yetu tusaini tutaenda kwenye vyombo vya habari kueleza wapi mikopo yetu ilipoenda na kwa nini mpaka sasa hamjaileta tulipo. Tumechoka kusubiri mmetupa siku sitini ambazo ni nyingi sana tumesubiri lakini mpaka sasa kimya .Kimsingi kwa kutumia mamlaka yenu mngeweza kuagiza vyuo ambapo mikopo yetu imeenda wailudishe Mara moja Bodi kuliko kukaaa mnawasubiri,Vivyo hivyo mmeshindwa majukumu yenu pia mngeweza kuagiza vyuo tulivyopo kwa kuwa tayari sisi tunamikopo viweze kutukopesha ili tuweze kuendelea na masomo vizuri .
Sasa tumechoka kusubiri ikifika jumatano SAA sita mchana hamjaleta majina yetu tusaini tunaenda kuwashitaki kwa watanzania.

Tatzo sio bodi ila uko chuo ulicho hama ndo hawajaludisha majina yenu bodi ili Mkopo wenu upelekwe kwenye vyuo mlivyo hamia....wasiliana na loan officer wa chuo ulicho hama awaambie majina yenu atayaludisha bodi lini...ili bodi ilete Mkopo chuo ulicho hamia....
 
Back
Top Bottom