Bodi ya Mikopo(HESLB) waachia majina ya wadaiwa sugu kuanzia mwaka 1994 hadi 2014

maajabu haya utayaona Tanzania pekee...
mtu alishindwa kulipa ada ya chuo, akamaliza, hajaajiliwa, kamaliza hajakaa hata miaka miwili eti ni mdaiwa sugu!!
kamaliza 2013/2014 anakuaje sugu, huo usugu maana yake ni nini sasa??
haa haa kwel noma sana...

Kwa hiyo mnatuaminisha kuwa mlipewa mikopo kwa masharti ya kupewa ajira ndipo mlipe! Dawa ya deni kulipa.Mtakopa hata chumvi huku mtaani mtagoma kulipa,hamtaaminika kwa yeyote mtaanza kunung'unika jamii haitupendi.

Mlisomeshwa kwa fedha za wasio jua kusoma na kuandika hawajawahi kukopeshwa na serikali wanataka muungane nao kufanya kazi wanazofanya kwa ubora Zaidi yao wajifunze kwenu waone faida ya kusoma.
 
Kwa hiyo mnatuaminisha kuwa mlipewa mikopo kwa masharti ya kupewa ajira ndipo mlipe! Dawa ya deni kulipa.Mtakopa hata chumvi huku mtaani mtagoma kulipa,hamtaaminika kwa yeyote mtaanza kunung'unika jamii haitupendi.

Mlisomeshwa kwa fedha za wasio jua kusoma na kuandika hawajawahi kukopeshwa na serikali wanataka muungane nao kufanya kazi wanazofanya kwa ubora Zaidi yao wajifunze kwenu waone faida ya kusoma.
uko sahihi kwa 100%
ila unajua nini, ndo maana serikali inatoa mikopo kwa kozi za kipaumbele.
wanajua ukimaliza tu wanaanza kukukamua.
hivi mtu aliyeshindwa kujilipia ada, adaweza kulipa mkopo wa 24Mill? a u seriouz!!?
 
Hapa kuna kila sababu ya kutafakari upya mfumo huu kwa sababu hats MTU akiwa mjasiliamali sizani km ndani ya mwaka atakuwa tayari kulipa deni hilo
 
Wakuu ina maana huyu ndo kakosa kabisa auu? Maana sielewi elewi
Screenshot_20191025-181053.jpeg
 
Back
Top Bottom