Bodaboda wavamia ofisi ya Serikali ya Mtaa Tabata, wamchukua mwizi wa Bodaboda watokomea naye kusikojulikana

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Kijana mmoja maarufu kwa jina la Bonge mkazi wa Mtaa wa Kichangani, Tabata Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, hajulikani alipo baada ya kubebwa na baadhi ya waendesha Bodaboda kwa madai kuwa amehusika na wizi wa pikipiki usiku wa kuamkia leo Agosti 3, 2023.

Tukio la wizi lilivyokuwa
Dada mmoja ambaye hajatambulika alimchukua Bodaboda kutoka Kinyerezi Sokoni (Mnadani) majira tano usiku, ampeleke Kichangani Darajani.

Baada ya kushuka abiria akatoa Tsh. 10,000, wakati dereva wa Bodaboda anatafuta chenji, ndipo wakatokea watu wawili na kumshambulia, katika purukushani dereva akitaka kuchmoa funguo wakampiga na kitu kizito usoni na kisha kumtupa kwenye mtaro.

Baada ya muda dereva Bodaboda akaenda kuomba msaada nyumba ya jirani ambapo wakatoa taarifa kwa Mjumbe wa Mtaa kisha kupelekwa katika moja ya zahanati ya Kinyerezi.

Usiku huohuo taarifa zikaanza kusambaa juu ya kilichotokea, ndipo mtu mmoja akasema amemuona Bonge akiwa anakokota pikipiki.

Wavamia nyumbani kwa Bonge
Inadaiwa Bonge ni mwizi maarufu maeneo hayo na kutokana na rekodi yake ya nyuma vijana wengi wa Bodaboda walikuwa na kisasi naye na walikuwa wakisubiri ‘ajichanye’.

Wakiongozana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichanganyi,….. wakafika nyumbani kwa Bonge ambaye baada ya kubanwa akakiri kuiba pikipiki husika, akaenda kuonesha alipoificha, kisha akachukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa, akiwa pamoja na kijana ambaye alijeruhiwa na kuporwa pikipiki.

Bodaboda wavamia
Ilipofika alfajiri, kundi la Bodaboda zaidi ya 30 wakavamia ofisi hiyo wakimtaka mtuhumiwa kwa kuwa ni kawaida yake kufanya matukio na kuachiwa.

Nguvu iliyotumika ikawazidi nguvu viongozi wa Serikali za Mtaa, wakafanikiwa kumtoa Bonge na kutokemea naye kusikojulikana huku mashuhuda wakidai walielekea njia ya Gongo la Mboto.

UPDATES....
Mwenyekiti Serikali ya Mtaa ya Kichangani, Leonard Nyukuli alipoulizwa kuhusu tukio hilo amesema "Nipo nje ya ofisi, kama unataka taarifa zaidi njoo ofisini utapata taarifa rasmi ya kiofisi."


MWILI WA BONGE WAPATIKANA
Mwanafamilia wa marehemu (jina linahifadhiwa) amesema mwili ulipatikana maeneo ya Vingunguti, juzi (Agosti 3), Mama Bonge tumezungumza naye amesema alipopata taarifa za tukio akajua siku ya mwanaye imefika hata kabla ya kuupata mwili, ni kama alishajiandaa kisaikolojia kutokana na matukio ya nyuma.”

Naye, Mwenyekiti wa Kichangani, Leonard Nyukuli amesema "Wananchi waache kujichukulia Sheria mkononi, mtuhumiwa alitoa ushirikiano akaonesha pikipiki, kuna watu waliotoka sehemu nyingine ndio wakafanya hayo waliyofanya, tuliita Polisi hawakufika kwa muda muafaka ndio yakajitokeza hayo."
 
Kijana mmoja maarufu kwa jina la Bonge mkazi wa Mtaa wa Kichangani, Tabata Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, hajulikani alipo baada ya kubebwa na baadhi ya waendesha Bodaboda kwa madai kuwa amehusika na wizi wa pikipiki usiku wa kuamkia leo Agosti 3, 2023.

Tukio la wizi lilivyokuwa
Dada mmoja ambaye hajatambulika alimchukua Bodaboda kutoka Kinyerezi Sokoni (Mnadani) majira tano usiku, ampeleke Kichangani Darajani.

Baada ya kushuka abiria akatoa Tsh. 10,000, wakati dereva wa Bodaboda anatafuta chenji, ndipo wakatokea watu wawili na kumshambulia, katika purukushani dereva akitaka kuchmoa funguo wakampiga na kitu kizito usoni na kisha kumtupa kwenye mtaro.

Baada ya muda dereva Bodaboda akaenda kuomba msaada nyumba ya jirani ambapo wakatoa taarifa kwa Mjumbe wa Mtaa kisha kupelekwa katika moja ya zahanati ya Kinyerezi.

Usiku huohuo taarifa zikaanza kusambaa juu ya kilichotokea, ndipo mtu mmoja akasema amemuona Bonge akiwa anakokota pikipiki.

Wavamia nyumbani kwa Bonge
Inadaiwa Bonge ni mwizi maarufu maeneo hayo na kutokana na rekodi yake ya nyuma vijana wengi wa Bodaboda walikuwa na kisasi naye na walikuwa wakisubiri ‘ajichanye’.

Wakiongozana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichanganyi,….. wakafika nyumbani kwa Bonge ambaye baada ya kubanwa akakiri kuiba pikipiki husika, akaenda kuonesha alipoificha, kisha akachukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa, akiwa pamoja na kijana ambaye alijeruhiwa na kuporwa pikipiki.

Bodaoda wavamia
Ilipofika alfajiri, kundi la Bodaboda zaidi ya 30 wakavamia ofisi hiyo wakimtaka mtuhumiwa kwa kuwa ni kawaida yake kufanya matukio na kuachiwa.

Nguvu iliyotumika ikawazidi nguvu viongozi wa Serikali za Mtaa, wakafanikiwa kumtoa Bonge na kutokemea naye kusikojulikana huku mashuhuda wakidai walielekea njia ya Gongo la Mboto.
Ameenda kupigwa MOTO
 
Kijana mmoja maarufu kwa jina la Bonge mkazi wa Mtaa wa Kichangani, Tabata Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, hajulikani alipo baada ya kubebwa na baadhi ya waendesha Bodaboda kwa madai kuwa amehusika na wizi wa pikipiki usiku wa kuamkia leo Agosti 3, 2023.

Tukio la wizi lilivyokuwa
Dada mmoja ambaye hajatambulika alimchukua Bodaboda kutoka Kinyerezi Sokoni (Mnadani) majira tano usiku, ampeleke Kichangani Darajani.

Baada ya kushuka abiria akatoa Tsh. 10,000, wakati dereva wa Bodaboda anatafuta chenji, ndipo wakatokea watu wawili na kumshambulia, katika purukushani dereva akitaka kuchmoa funguo wakampiga na kitu kizito usoni na kisha kumtupa kwenye mtaro.

Baada ya muda dereva Bodaboda akaenda kuomba msaada nyumba ya jirani ambapo wakatoa taarifa kwa Mjumbe wa Mtaa kisha kupelekwa katika moja ya zahanati ya Kinyerezi.

Usiku huohuo taarifa zikaanza kusambaa juu ya kilichotokea, ndipo mtu mmoja akasema amemuona Bonge akiwa anakokota pikipiki.

Wavamia nyumbani kwa Bonge
Inadaiwa Bonge ni mwizi maarufu maeneo hayo na kutokana na rekodi yake ya nyuma vijana wengi wa Bodaboda walikuwa na kisasi naye na walikuwa wakisubiri ‘ajichanye’.

Wakiongozana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichanganyi,….. wakafika nyumbani kwa Bonge ambaye baada ya kubanwa akakiri kuiba pikipiki husika, akaenda kuonesha alipoificha, kisha akachukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa, akiwa pamoja na kijana ambaye alijeruhiwa na kuporwa pikipiki.

Bodaoda wavamia
Ilipofika alfajiri, kundi la Bodaboda zaidi ya 30 wakavamia ofisi hiyo wakimtaka mtuhumiwa kwa kuwa ni kawaida yake kufanya matukio na kuachiwa.

Nguvu iliyotumika ikawazidi nguvu viongozi wa Serikali za Mtaa, wakafanikiwa kumtoa Bonge na kutokemea naye kusikojulikana huku mashuhuda wakidai walielekea njia ya Gongo la Mboto.
40 zimetimia!
 
Kijana mmoja maarufu kwa jina la Bonge mkazi wa Mtaa wa Kichangani, Tabata Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, hajulikani alipo baada ya kubebwa na baadhi ya waendesha Bodaboda kwa madai kuwa amehusika na wizi wa pikipiki usiku wa kuamkia leo Agosti 3, 2023.

Tukio la wizi lilivyokuwa
Dada mmoja ambaye hajatambulika alimchukua Bodaboda kutoka Kinyerezi Sokoni (Mnadani) majira tano usiku, ampeleke Kichangani Darajani.

Baada ya kushuka abiria akatoa Tsh. 10,000, wakati dereva wa Bodaboda anatafuta chenji, ndipo wakatokea watu wawili na kumshambulia, katika purukushani dereva akitaka kuchmoa funguo wakampiga na kitu kizito usoni na kisha kumtupa kwenye mtaro.

Baada ya muda dereva Bodaboda akaenda kuomba msaada nyumba ya jirani ambapo wakatoa taarifa kwa Mjumbe wa Mtaa kisha kupelekwa katika moja ya zahanati ya Kinyerezi.

Usiku huohuo taarifa zikaanza kusambaa juu ya kilichotokea, ndipo mtu mmoja akasema amemuona Bonge akiwa anakokota pikipiki.

Wavamia nyumbani kwa Bonge
Inadaiwa Bonge ni mwizi maarufu maeneo hayo na kutokana na rekodi yake ya nyuma vijana wengi wa Bodaboda walikuwa na kisasi naye na walikuwa wakisubiri ‘ajichanye’.

Wakiongozana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichanganyi,….. wakafika nyumbani kwa Bonge ambaye baada ya kubanwa akakiri kuiba pikipiki husika, akaenda kuonesha alipoificha, kisha akachukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa, akiwa pamoja na kijana ambaye alijeruhiwa na kuporwa pikipiki.

Bodaoda wavamia
Ilipofika alfajiri, kundi la Bodaboda zaidi ya 30 wakavamia ofisi hiyo wakimtaka mtuhumiwa kwa kuwa ni kawaida yake kufanya matukio na kuachiwa.

Nguvu iliyotumika ikawazidi nguvu viongozi wa Serikali za Mtaa, wakafanikiwa kumtoa Bonge na kutokemea naye kusikojulikana huku mashuhuda wakidai walielekea njia ya Gongo la Mboto.
Safi sana. Msiba uko maeneo gani?
 
Huyo inatakiwa afe kifo cha kikatili sana ikiwezekana watenganishe viungo vyake moja baada ya kingn, haiwezekani mtu afanye ujambazi afu aachiwe


Nazani hiyo ndio sababu ya kutokomea nae njia ya gongo la mboto.

Maana wanataka wakafanyie jambo lao mbali na kinyerezi maana bonge anajulikana kinyerezi.

Wamempeleka sehemu ambayo bonge hajulikani ili wakiwa wanamsulubu akose utetezi.

Bonge alipaswa amtaje huyo dada kwanza ili na yeye akafatwe kwake
 
Kijana mmoja maarufu kwa jina la Bonge mkazi wa Mtaa wa Kichangani, Tabata Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, hajulikani alipo baada ya kubebwa na baadhi ya waendesha Bodaboda kwa madai kuwa amehusika na wizi wa pikipiki usiku wa kuamkia leo Agosti 3, 2023.

Tukio la wizi lilivyokuwa
Dada mmoja ambaye hajatambulika alimchukua Bodaboda kutoka Kinyerezi Sokoni (Mnadani) majira tano usiku, ampeleke Kichangani Darajani.

Baada ya kushuka abiria akatoa Tsh. 10,000, wakati dereva wa Bodaboda anatafuta chenji, ndipo wakatokea watu wawili na kumshambulia, katika purukushani dereva akitaka kuchmoa funguo wakampiga na kitu kizito usoni na kisha kumtupa kwenye mtaro.

Baada ya muda dereva Bodaboda akaenda kuomba msaada nyumba ya jirani ambapo wakatoa taarifa kwa Mjumbe wa Mtaa kisha kupelekwa katika moja ya zahanati ya Kinyerezi.

Usiku huohuo taarifa zikaanza kusambaa juu ya kilichotokea, ndipo mtu mmoja akasema amemuona Bonge akiwa anakokota pikipiki.

Wavamia nyumbani kwa Bonge
Inadaiwa Bonge ni mwizi maarufu maeneo hayo na kutokana na rekodi yake ya nyuma vijana wengi wa Bodaboda walikuwa na kisasi naye na walikuwa wakisubiri ‘ajichanye’.

Wakiongozana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichanganyi,….. wakafika nyumbani kwa Bonge ambaye baada ya kubanwa akakiri kuiba pikipiki husika, akaenda kuonesha alipoificha, kisha akachukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa, akiwa pamoja na kijana ambaye alijeruhiwa na kuporwa pikipiki.

Bodaboda wavamia
Ilipofika alfajiri, kundi la Bodaboda zaidi ya 30 wakavamia ofisi hiyo wakimtaka mtuhumiwa kwa kuwa ni kawaida yake kufanya matukio na kuachiwa.

Nguvu iliyotumika ikawazidi nguvu viongozi wa Serikali za Mtaa, wakafanikiwa kumtoa Bonge na kutokemea naye kusikojulikana huku mashuhuda wakidai walielekea njia ya Gongo la Mboto.

UPDATES....
Mwenyekiti Serikali ya Mtaa ya Kichangani, Leonard Nyukuli alipoulizwa kuhusu tukio hilo amesema "Nipo nje ya ofisi, kama unataka taarifa zaidi njoo ofisini utapata taarifa rasmi ya kiofisi."
Wanaenda kumlawiti huyo.
 
Kijana mmoja maarufu kwa jina la Bonge mkazi wa Mtaa wa Kichangani, Tabata Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, hajulikani alipo baada ya kubebwa na baadhi ya waendesha Bodaboda kwa madai kuwa amehusika na wizi wa pikipiki usiku wa kuamkia leo Agosti 3, 2023.

Tukio la wizi lilivyokuwa
Dada mmoja ambaye hajatambulika alimchukua Bodaboda kutoka Kinyerezi Sokoni (Mnadani) majira tano usiku, ampeleke Kichangani Darajani.

Baada ya kushuka abiria akatoa Tsh. 10,000, wakati dereva wa Bodaboda anatafuta chenji, ndipo wakatokea watu wawili na kumshambulia, katika purukushani dereva akitaka kuchmoa funguo wakampiga na kitu kizito usoni na kisha kumtupa kwenye mtaro.

Baada ya muda dereva Bodaboda akaenda kuomba msaada nyumba ya jirani ambapo wakatoa taarifa kwa Mjumbe wa Mtaa kisha kupelekwa katika moja ya zahanati ya Kinyerezi.

Usiku huohuo taarifa zikaanza kusambaa juu ya kilichotokea, ndipo mtu mmoja akasema amemuona Bonge akiwa anakokota pikipiki.

Wavamia nyumbani kwa Bonge
Inadaiwa Bonge ni mwizi maarufu maeneo hayo na kutokana na rekodi yake ya nyuma vijana wengi wa Bodaboda walikuwa na kisasi naye na walikuwa wakisubiri ‘ajichanye’.

Wakiongozana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kichanganyi,….. wakafika nyumbani kwa Bonge ambaye baada ya kubanwa akakiri kuiba pikipiki husika, akaenda kuonesha alipoificha, kisha akachukuliwa kwenda kuhifadhiwa katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa, akiwa pamoja na kijana ambaye alijeruhiwa na kuporwa pikipiki.

Bodaboda wavamia
Ilipofika alfajiri, kundi la Bodaboda zaidi ya 30 wakavamia ofisi hiyo wakimtaka mtuhumiwa kwa kuwa ni kawaida yake kufanya matukio na kuachiwa.

Nguvu iliyotumika ikawazidi nguvu viongozi wa Serikali za Mtaa, wakafanikiwa kumtoa Bonge na kutokemea naye kusikojulikana huku mashuhuda wakidai walielekea njia ya Gongo la Mboto.

UPDATES....
Mwenyekiti Serikali ya Mtaa ya Kichangani, Leonard Nyukuli alipoulizwa kuhusu tukio hilo amesema "Nipo nje ya ofisi, kama unataka taarifa zaidi njoo ofisini utapata taarifa rasmi ya kiofisi."
Dah
Maskuni Bonge. Kaisha ujanani
 
Nazani hiyo ndio sababu ya kutokomea nae njia ya gongo la mboto.

Maana wanataka wakafanyie jambo lao mbali na kinyerezi maana bonge anajulikana kinyerezi.

Wamempeleka sehemu ambayo bonge hajulikani ili wakiwa wanamsulubu akose utetezi.

Bonge alipaswa amtaje huyo dada kwanza ili na yeye akafatwe kwake
Uzur boda boda hawajawahi nidissapoint kwenye vitu kama hvi
 
Back
Top Bottom