Bob Marley alikuwa anamaanisha nini??

skia hii..., "EVERYTIME I PLANT A SEED,,HE SAID KILL THEM BEFORE THEY GROW AND SO I SHOT HIM DOWN,, if am guilty i'll pay" hii unaipata kwny i shot the sherriff..., bob kammaindi sherriff brown.., bob kila akipanda bangi jamaa anamwambia ang'oe..,
 
Inawezekana nisiwe right. No Woman, No Cry ni wimbo unawaomba wanawake wasilie. Wimbo huu unahusu mwanaume kukulia kwenye maisha ya ghetto na kuweza kumshawishi mwanamke ampende kwa vile mambo yatakuwa mazuri hapo baadae.

Wapo wengine wanaosema kuwa jina la wimbo lina maana kuwa kama huna mwanamke, basi huwezi kulia. Wengine wanadai mwanamke kwenye “No Woman, No Cry” ni malkia wa Uingereza alivyoitawala Jamaica. Kwamba, kama sio yeye basi Wajamaica wasingelia.

Wengine wanadai Bob aliimba huo wimbo kwa aili ya rafiki yake V. Ford ambaye alikuwa mtungaji wa nyimbo. Huyu rafiki yake Bob alikuwa maskini na alikuwa anaishi maisha ya ghetto. Wanasema wakati V. Ford akiwa amelazwa hosipitalini kwa ugonjwa wa cancer, mke wake (V. Ford) alikuwa pembeni mwa kitanda chake akilia na V. Bob alimwambia "no woman, no cry" which inspired Marley to write the song.
Umeifafanua vizuri sana mkuu, nimeanza kuelewa ni nini hasa alimaanisha huyu jamaa. Licha ya kuwa wengi wanadai jamaa alikuwa mvuta bangi, lakini naona alikuwa anatoa ujumbe uliotulia kwa jamii.
 
Hakumaanisha hivyo unavyoichukua ndugu yangu, alimaanisha kuwa kila akiwaandaa vijana kupigania uhuru wao wazungu wanawapoteza kabla hawajakomaa kizalendo. unamjua Bo wewe au unamsikia tu, I LIKE BOB MARLEY.
 
Moja kati ya hasara kubwa dunia kuwahi kupata ni hii ya kifo cha huyu jamaa tarehe 11/5/1981!R.I.P
 
Bob kweli alikuwa bingwa wa mistri ilosheheni busara na ujumbe mzito hasa album uprising(zion train,we and them,pimpers paradise,work,redemption song,could you be loved)/emancipate yourself from mental slavery,non but ourselves can free our minds-BM.
 
Back
Top Bottom