Dr-Rick
Member
- Feb 15, 2013
- 48
- 18
Maisha yanawezekana bt impact inakuja kama mtoto atachukua ile Rh postive kwa baba then wakat anazaliwa kwenye kukata kitovu damu ya mtoto ikachanganyikana na ya mama then mama atatengeneza antbodies agnst zile Rh postive, so kulingana na kwamba immunoglobin G inatabia ya kupita kwenye placenta then kama mama atapata mimba nyingine yenye damu ya Rh postive huyu mtoto atakufa is where now we get haemolytic disease of new born.