Blackberry vs Simu nyingine

Mh! naogopa kusema mimi nina ka tochi kangu ka promosheni ya Airtel! ni msaada na huu umeme unaokata hovyo kananisaidia.
 
Kuliko kutumia BlackBerry bora kutumia Symbian uiq3, s60v3,4,5...


4rm Team 'Iphone'..
 
BlackBery iko okay lakini ni kati ya simu ambazo zinaongoza katika kutoa mionzi kuliko smartphones nyingine. Sishauri matumizi makubwa ya Blackberry japo bongo tunanunua kwa ajili ya fashion zaidi.

The top 10 smartphones with the highest radiation
  1. T-Mobile MyTouch 3G (1.55 W/kg)
  2. Blackberry Curve 8330 (1.54 W/kg)
  3. Palm Treo 600 (1.53 W/kg)
  4. T-Mobile Shadow (1.53 W/kg)
  5. Palm Treo 650 (1.51 W/kg)
  6. Blackberry Curve 8300 (1.51 W/kg)
  7. Blackberry Bold 9000 (1.51 W/kg)
  8. Sony Ericsson P910a (1.50 W/kg)
  9. HTC SMT 5800 (1.49 W/kg)
  10. BlackBerry Pearl 8120/8130 (1.48 W/kg)
 
Ha ha ha ..tunabishana kuhusu matumizi ya smart phone wakati hizi hazina faida kwa watanzania wengi..kutoka na nchi yetu kuwa nyuma kiteknolojia na E-commerce..

Jiulize kwanza unahitaji smart phone kwa ajili gani? .In Tanzania.. Internet ni gharama sana, hakuna online facilities.. Social Network users ni wachache..jiulize nyumbani kwenu wangapi au kazini kwako wangapi wanaingia JF au FB.labda ni wewe peke yako... hao wachache mpaka wakimbilie Interner Cafe za speed 256Kb/s.. Jiulize Apps ngapi tunatumia.. GPS hazifanyi kazi kwani Bongo hakuna mitaa.. Restaurants zetu hazifanyi online delivery.. In absence of E-commerce hizo simu huziitaji..

Bongo walio wengi tunahitaji. Nokia za tochi ..tena zinatosha sana..tena hasa wakati huu wa mgawo wa umeme..Hivyo msibishane kwa kufuata mkumbo..subirini teknolojia itakapofika Bongo mwaka 3000..
 
we............................Hiyop keyboard ya blackberry ndo ilifanya mauzo yao yashuka last week,,, They say that smartphone withouk keyboar give a nice userinterface and can intergrate easly with many apps.
BB in keyboard nzuri ya qwerty.
Ina battery life nzuri, at least hizi BB traditional sijui za touch screen.
Integration na BB Server kama kazini kwenu wanatumia.
Imetengenezwa vizuri, ina quality feel mkononi.(most)

Kwenye mengine yote imeachwa, interface ovyo, touch ovyo, browser ovyo, Apps ovyo. Ziko overprices kwa maoni yangu.

Kuna nchi e.g India zilitishia kuifungia kwa sababu vyombo vya usalama haviwezi kusoma msg za BB kwa kuwa server zipo Canada na msg ziko encrypted, ila sasa wamewezeshwa kuzisoma hizo Msg so zimeruhusiwa.
 
we............................Hiyop keyboard ya blackberry ndo ilifanya mauzo yao yashuka last week,,, They say that smartphone withouk keyboar give a nice userinterface and can intergrate easly with many apps.

Namaanisha kuna watu wanapenda physical keyboard, na BB ndo top of the line keyboard. Ila ni kweli interface ya BB ni mbovu kabisa, ukishatumia Android/iPhone/WP7/PalmOS, BB inakuwa unusable kabisa.
 
Ha ha ha ..tunabishana kuhusu matumizi ya smart phone wakati hizi hazina faida kwa watanzania wengi..kutoka na nchi yetu kuwa nyuma kiteknolojia na E-commerce..Jiulize kwanza unahitaji smart phone kwa ajili gani? .In Tanzania.. Internet ni gharama sana, hakuna online facilities.. Social Network users ni wachache..jiulize nyumbani kwenu wangapi au kazini kwako wangapi wanaingia JF au FB.labda ni wewe peke yako... hao wachache mpaka wakimbilie Interner Cafe za speed 256Kb/s.. Jiulize Apps ngapi tunatumia.. GPS hazifanyi kazi kwani Bongo hakuna mitaa.. Restaurants zetu hazifanyi online delivery.. In absence of E-commerce hizo simu huziitaji..Bongo walio wengi tunahitaji. Nokia za tochi ..tena zinatosha sana..tena hasa wakati huu wa mgawo wa umeme..Hivyo msibishane kwa kufuata mkumbo..subirini teknolojia itakapofika Bongo mwaka 3000..
du, naona kama unanikatisha tamaa hivi..
 
Simu ni Nokia tu,ukitaka ya bei rahisi ipo,ukitaka ya bei mbaya ipo,yenye application chache ipo yenye application nyingi zipo tele
 
mopaozi;BB ni noumer tangu nimeanza kuitumia simu nyingine zote naziona mavi

Hujajaribu zingine baada ya kuwa na hiyo BB, jaribu Samsung Galaxy S II au Apple iphone 4 utaacha hiyo BB
 
Top 10 Mobile Phones



PC & Tech Authority's Top 10s are ranked according to site traffic, and are not based on review scores or selection by the PC & Tech Authority team. This list shows which products are receiving the most interest from readers on our site.
1

HTC Incredible S review: an impressive smartphone with good battery life and an 8MP camera
score_5.gif

HTC's new flagship Android phone packs in a lot of features, but is it advanced enough to hold off the competition?
Mar 28, 2011 3:14 PM

2

First look: Samsung Google Nexus S
score_0.gif

Google's third foray into the smartphone market has arrived in the form of the Samsung Google Nexus S. Find out how it handles.
Mar 22, 2011 11:21 AM

3

iPhone 4
score_6.gif

A new design and super-sharp display, but is Apple's new smartphone good enough to pick up where the 3GS left off?
Sep 9, 2010 3:21 PM

4

Sony Ericsson Xperia Play review: the phone that's a gaming machine
score_4.gif

More gaming machine than phone, but as our review reveals the Sony Ericsson's Xperia Play is a lot of fun
May 18, 2011 3:07 PM

5

First Look: HTC Desire Z
score_5.gif

The Desire gets a pop-out keyboard, Android 2.2, and a letter after its name
Jan 4, 2011 5:13 PM

6

Reviewed: HTC's HD7 with Windows Phone 7
score_4.gif

So how does this big screen Windows Phone 7 handset stack up? See our verdict on HTC's HD7.
Jan 20, 2011 6:33 PM

7

Samsung Galaxy S, big-screened beauty
score_0.gif

Samsung's Galaxy S is large and in charge.
Oct 11, 2010 9:36 AM

8

Reviewed: Google Nexus S
score_5.gif

A slick phone that's guaranteed to get the latest Android updates, but it has it's faults.
May 31, 2011 10:21 AM

9

Apple's iPhone 3GS is still the best smartphone you can buy
score_5.gif

Super fast, brilliantly flexible and easy to use – the iPhone 3GS is still the best smartphone around
May 3, 2010 11:21 AM

10

First look: Nokia N8
score_0.gif

The smartphone pioneer has upped its game with more powerful hardware, a new OS and a 12MP camera
Oct 20, 2010 9:18 AM

Source: Top 10 Phones in May - Top 10 - PC & Tech Authority
 
Mkuu unaongea kinyume kabisa, BB ndo most secure mobile phone kama unataka privacy ndo maana zinatumika na makampuni mengi kutunza corporate secrets, nchi zinaibania for the same reason kwa sababu wanausalama hawawezi kusoma msg za watu, hili ni tatizo hata terrorists wa Mumbai walikuwa wanatumia BB na iliwasaidia kuficha mawasiliano.

Kampuni za zote za simu (provider) zinaweza kusoma msg zako, kwa sababu encryption iko kati yako na kampuni, tofauti na BB ambayo unaweza kufanya encryption end to end yaani kati yako na unayeongea nae kitu ambacho kinawanyima hata BB kusoma msg zako.

Kang, kindly help mi naona neno encryption kwenye simu yangu sielewi linamaanisha nini na application zake ni zipi!
 
Kama ni mambo ya ofisini tu Blackbell iko poa lakini kama ni mambo yetu sisi vijana kama vile music,movies,games and so on Blackbell ni kichefu chefu tu coz i use iphone 3Gs yaani mpango mzima kuanzia music unakukta kitu kinaitwa ipod,video,camera yake nayo ni noma ukiacha other apps
 
Simu ni Nokia tu,ukitaka ya bei rahisi ipo,ukitaka ya bei mbaya ipo,yenye application chache ipo yenye application nyingi zipo tele

Mkuu tatizo la Nokia ni kule kutumia Symbian OS, ambayo karibu itakuwa hayati, kwa vile Nokia mwishoni mwa mwaka huu wanahamia Windows Phone. RIP Symbian OS.
 
Wengi wetu tunaelewa vibaya tunaposikia kwamba BB ni simu ya Corporate users. Tunadhani ni kwa ajili ya kazi za kiofisi. Ni mambo mawili ambayo yanaifanya simu hii kuitwa hivyo. Kwanza ni ule uwezo wake wa kuhifadhi siri (security) kwamba mawasiliano baina yako na watu wengine sio rahisi kudakwa na mapaparazi. Na pili push email.

Tukianza la la usalama sidhani kama wengi wetu tunalihitaji hili kwa vile hatuna siri zozote za maana ambazo zinahitaji BB isipokuwa kwa wale ambao wanatumia mawasiliano ya kikazi katika kampuni kubwa zenye siri.

Tukija kwenye Push email sasa hivi iOS, Android na WP7 zote zina push kwa hiyo hakuna kitu chochote cha muhimu katika BB isipokuwa kwa wale wanaoipenda BBM.
 
Kang, kindly help mi naona neno encryption kwenye simu yangu sielewi linamaanisha nini na application zake ni zipi!
Encryption ni njia za kuvuruga data ili zisiweze kusomeka na mtu yoyote asiyekuwa na funguo, na decryption ni kuzirudisha data kwenye hali yake ya kawaida (reverse ya encryption) ina matumizi mengi, ikiwemo kwenye msg, inakuwa encrypted kwenye simu ya sender na decrypted kwenye simu ya receiver hivyo mtu wa katikati (vyombo vya usalama, service provider etc) hawezi kuisoma.

Pia simu nyingi zina option ya kuencrypt memory card, ukifanya hivyo data zake zinakuwa hazisomeki sehemu yoyote nyingine, inabidi uwe mwangalifu maana simu ikifa data zote zinaweza zisipatikane tena.

Kwenye PC pia unaweza kuencrypt files, emails au hata HD nzima.

Encryption technique ziko nyingi na zinatofautiana ubora na ugumu wa kuzifungua bila kuwa na ufunguo halali kuna mbovu kabisa na kuna ambazo hazijawahi kufunguliwa na hakuna ushahidi kuwa yoyote duniani mwenye uwezo wa kuzifungua, hii inatokana na hesabu zinazotumika kwenye decryption kuwa ngumu kwa kumpyuta kuzifanya so inaweza kuchukua maelfu ya miaka kuifungua msg hata kama una computing power yote duniani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom