Blackberry vs Simu nyingine

BB in keyboard nzuri ya qwerty.
Ina battery life nzuri, at least hizi BB traditional sijui za touch screen.
Integration na BB Server kama kazini kwenu wanatumia.
Imetengenezwa vizuri, ina quality feel mkononi.(most)

Kwenye mengine yote imeachwa, interface ovyo, touch ovyo, browser ovyo, Apps ovyo. Ziko overprices kwa maoni yangu.

Kuna nchi e.g India zilitishia kuifungia kwa sababu vyombo vya usalama haviwezi kusoma msg za BB kwa kuwa server zipo Canada na msg ziko encrypted, ila sasa wamewezeshwa kuzisoma hizo Msg so zimeruhusiwa.
 
Mi nadhani wabongo wengi tunanuanua BB kama fashion tu. kama unavyoona serikali inavyonunua mashangingi kwa safari za masaki tu posta.

BB ni corporate phone for corporate users . Sasa how many BB owner In Tanzania can call themselves corporate user???? kama watu wangejua concept nzima ya design na reason behind BB watagundua kuw ajap wanaitumia haikuwa Idea ya desinger iwe hivyo
 
Historia ya hizo simu inasema kwamba zilitengenezwa kwa ajili ya kazi za kijasusi tu kwa mashirika ya kijasusi ya kimarekani baadaye ndio zikawewkwa sokoni zikaweza kutumiwa na watu wote so tatizo la hizo simu walivyobadili mfumo kutoka kwa mfumo wa kijasusi kwenda kwa mfumo wa simu za kawaida kuna vitu ambavyo walisahau kuvitoa kwenye bios ya hizo simu,hizi simu hazina siri kwenye server zao za Canada na USA operator anaweza kusoma msg zote za kwenye hizo simu kuanzia sms mms hadi email nakila kitu kilichomo kwenye hiyo simu so mwenye simu anakuwa hana usiri tena na mambo yake thats why last year baadhi ya nchi za Kiarabu zilipiga marufuku matumizi ya hizo simu. Ingawa nimeshawahi kuzitumia lakini wala hazikunifurahisha hata kidogo coz internet unanua bundle yake yenyewe ya bb inayojitegemea kwa wiki au kwa mwezi wakati ukitumia smartphone ya iphone unanua bundle ya kawaida tu na matumizi yake ni ya kawaida tu wakati hiyo iphone kwanza speed yake ya net ni kubwa zaidi ya bb na ina apps za kueleweka.
 
Historia ya hizo simu inasema kwamba zilitengenezwa kwa ajili ya kazi za kijasusi tu kwa mashirika ya kijasusi ya kimarekani baadaye ndio zikawewkwa sokoni zikaweza kutumiwa na watu wote so tatizo la hizo simu walivyobadili mfumo kutoka kwa mfumo wa kijasusi kwenda kwa mfumo wa simu za kawaida kuna vitu ambavyo walisahau kuvitoa kwenye bios ya hizo simu,hizi simu hazina siri kwenye server zao za Canada na USA operator anaweza kusoma msg zote za kwenye hizo simu kuanzia sms mms hadi email nakila kitu kilichomo kwenye hiyo simu so mwenye simu anakuwa hana usiri tena na mambo yake thats why last year baadhi ya nchi za Kiarabu zilipiga marufuku matumizi ya hizo simu. Ingawa nimeshawahi kuzitumia lakini wala hazikunifurahisha hata kidogo coz internet unanua bundle yake yenyewe ya bb inayojitegemea kwa wiki au kwa mwezi wakati ukitumia smartphone ya iphone unanua bundle ya kawaida tu na matumizi yake ni ya kawaida tu wakati hiyo iphone kwanza speed yake ya net ni kubwa zaidi ya bb na ina apps za kueleweka.

Mkuu unaongea kinyume kabisa, BB ndo most secure mobile phone kama unataka privacy ndo maana zinatumika na makampuni mengi kutunza corporate secrets, nchi zinaibania for the same reason kwa sababu wanausalama hawawezi kusoma msg za watu, hili ni tatizo hata terrorists wa Mumbai walikuwa wanatumia BB na iliwasaidia kuficha mawasiliano.

Kampuni za zote za simu (provider) zinaweza kusoma msg zako, kwa sababu encryption iko kati yako na kampuni, tofauti na BB ambayo unaweza kufanya encryption end to end yaani kati yako na unayeongea nae kitu ambacho kinawanyima hata BB kusoma msg zako.
 
Mkuu unafahamu sababu nchi za Uarabuni kutaka kukataa kuzitumia hizo simu? Just Google it utajua naongelea kitu gani.
Mkuu unaongea kinyume kabisa, BB ndo most secure mobile phone kama unataka privacy ndo maana zinatumika na makampuni mengi kutunza corporate secrets, nchi zinaibania for the same reason kwa sababu wanausalama hawawezi kusoma msg za watu, hili ni tatizo hata terrorists wa Mumbai walikuwa wanatumia BB na iliwasaidia kuficha mawasiliano.

Kampuni za zote za simu (provider) zinaweza kusoma msg zako, kwa sababu encryption iko kati yako na kampuni, tofauti na BB ambayo unaweza kufanya encryption end to end yaani kati yako na unayeongea nae kitu ambacho kinawanyima hata BB kusoma msg zako.
 
Mkuu unaongea kinyume kabisa, BB ndo most secure mobile phone kama unataka privacy ndo maana zinatumika na makampuni mengi kutunza corporate secrets, nchi zinaibania for the same reason kwa sababu wanausalama hawawezi kusoma msg za watu, hili ni tatizo hata terrorists wa Mumbai walikuwa wanatumia BB na iliwasaidia kuficha mawasiliano.

Kampuni za zote za simu (provider) zinaweza kusoma msg zako, kwa sababu encryption iko kati yako na kampuni, tofauti na BB ambayo unaweza kufanya encryption end to end yaani kati yako na unayeongea nae kitu ambacho kinawanyima hata BB kusoma msg zako.
Kwa kuongezea tu ni kuwa watu walikuwa wanapenda BB kupitia application ya BBM (Black Berry Messaging) Sasa Iphone nao wamekuja na iOS 5 ambayo ina service kama hiyo iMessage ni service ambayo unaweza kutuma unlimited message bure kupitia WI-FI au 3G na itatumika katika iPad, iPhone na iPod
http://www.google.com/search?q=ipho...&tbo=u&ei=PKrvTYD9CY-OvQO_l9CPCQ&ved=0CDYQqAI
 
wat eva the case wabongo wengi tuna bb coz of show off.wakati hana uwezo wa kununua bundle na haimasidi katika maisha yake .tujifunze kutumia simu kwa manufaa yetu na kazi zetu
 
BB ni noumer tangu nimeanza kuitumia simu nyingine zote naziona mavi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom