Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,817
Blackberry ni kipi hasa ilicho zizidi simu nyingine?
Blackberry ni kipi hasa ilicho zizidi simu nyingine?
Bb hamna kitu bwana!
Bb hamna kitu bwana!
sasa ipi nzuri?
Historia ya hizo simu inasema kwamba zilitengenezwa kwa ajili ya kazi za kijasusi tu kwa mashirika ya kijasusi ya kimarekani baadaye ndio zikawewkwa sokoni zikaweza kutumiwa na watu wote so tatizo la hizo simu walivyobadili mfumo kutoka kwa mfumo wa kijasusi kwenda kwa mfumo wa simu za kawaida kuna vitu ambavyo walisahau kuvitoa kwenye bios ya hizo simu,hizi simu hazina siri kwenye server zao za Canada na USA operator anaweza kusoma msg zote za kwenye hizo simu kuanzia sms mms hadi email nakila kitu kilichomo kwenye hiyo simu so mwenye simu anakuwa hana usiri tena na mambo yake thats why last year baadhi ya nchi za Kiarabu zilipiga marufuku matumizi ya hizo simu. Ingawa nimeshawahi kuzitumia lakini wala hazikunifurahisha hata kidogo coz internet unanua bundle yake yenyewe ya bb inayojitegemea kwa wiki au kwa mwezi wakati ukitumia smartphone ya iphone unanua bundle ya kawaida tu na matumizi yake ni ya kawaida tu wakati hiyo iphone kwanza speed yake ya net ni kubwa zaidi ya bb na ina apps za kueleweka.
Mkuu unaongea kinyume kabisa, BB ndo most secure mobile phone kama unataka privacy ndo maana zinatumika na makampuni mengi kutunza corporate secrets, nchi zinaibania for the same reason kwa sababu wanausalama hawawezi kusoma msg za watu, hili ni tatizo hata terrorists wa Mumbai walikuwa wanatumia BB na iliwasaidia kuficha mawasiliano.
Kampuni za zote za simu (provider) zinaweza kusoma msg zako, kwa sababu encryption iko kati yako na kampuni, tofauti na BB ambayo unaweza kufanya encryption end to end yaani kati yako na unayeongea nae kitu ambacho kinawanyima hata BB kusoma msg zako.
Kwa kuongezea tu ni kuwa watu walikuwa wanapenda BB kupitia application ya BBM (Black Berry Messaging) Sasa Iphone nao wamekuja na iOS 5 ambayo ina service kama hiyo iMessage ni service ambayo unaweza kutuma unlimited message bure kupitia WI-FI au 3G na itatumika katika iPad, iPhone na iPodMkuu unaongea kinyume kabisa, BB ndo most secure mobile phone kama unataka privacy ndo maana zinatumika na makampuni mengi kutunza corporate secrets, nchi zinaibania for the same reason kwa sababu wanausalama hawawezi kusoma msg za watu, hili ni tatizo hata terrorists wa Mumbai walikuwa wanatumia BB na iliwasaidia kuficha mawasiliano.
Kampuni za zote za simu (provider) zinaweza kusoma msg zako, kwa sababu encryption iko kati yako na kampuni, tofauti na BB ambayo unaweza kufanya encryption end to end yaani kati yako na unayeongea nae kitu ambacho kinawanyima hata BB kusoma msg zako.
BB ni noumer tangu nimeanza kuitumia simu nyingine zote naziona mavi
BB ni noumer tangu nimeanza kuitumia simu nyingine zote naziona mavi