luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
wanajamvi habarini..
Jamani hizi simu za blackberry naona zinanitesa mno,.. naomba kama kuna namna naweza fanya nikapunguza mateso haya tusaidiane pliz..
inanigomea kwenye internet kila nikijaribu kuingia inadai codes...now najiuliza is it locked? and if it is locked, kuna uwezekano wowote wa kui unlock? naomba mnifahamishe pliz nini cha kufanya.
Thanks in advance wakuu
Jamani hizi simu za blackberry naona zinanitesa mno,.. naomba kama kuna namna naweza fanya nikapunguza mateso haya tusaidiane pliz..
inanigomea kwenye internet kila nikijaribu kuingia inadai codes...now najiuliza is it locked? and if it is locked, kuna uwezekano wowote wa kui unlock? naomba mnifahamishe pliz nini cha kufanya.
Thanks in advance wakuu