Blackberry award 2,000,000 pound

Milindi

JF-Expert Member
Mar 3, 2009
1,462
745
Ndugu wana jamii nimetumiwa sms ifuatayo"RIM-Blackberry has awarded you 2,000,000 Pounds.Email NAME,COUNTRY to:ukblackberry@live.co.uk". from +4915159916575. Ninachokiona hapa ni utapeli.Kama kuna mtu ambaye anaweza kutoa habari na kushauri kuhusu hawa jamaa naomba msaada kama ni matapeli basi jamii nzima ipewe taarifa namna ya kuepukana nao.[SUP][/SUP]
 
Hao ni matapeli na ni wengi sana, ukitaka kuwa report, google Nigeria scam reporting utapata pa kuwa report.
 
Ndugu yangu hapo umekutana na maprofesa(matapeli). Binafsi nina experience na hawa matapeli. Mwaka juzi 2009 ilinitokea kwa kutumiwa email kutoka UK. Niliijibu kwa kutoa details walizohitaji,baada ya siku chache nikapata email kuwa mimi ni mshindi na nimepata euro 950,000.

Nikapewa maelekezo ya namna ya kuipata zawadi ambapo nilitakiwa kwenda kulipia dola 450 au 350 au 250 kupata zawadi haraka itategemea umetoa dola ngapi. Walitaka nitumie moneywire au moneygram au westernuniun.

Wakasema malipo ni kwa ajili ya firmchamber law kuwalipa wanasheria. Nikawaambia kateni kwenye zawadi wakagoma! Nikawaambia mie sinashida na zawadi yenye masharti,kama hivyo wampe mwingine. Walikuwa wananisumbua sana kwa kunipigia simu, baada ya hapo nilikuwa nakata kila wakipiga.

Baada ya kuona response ni negative waliniacha hata email zikawa haziji. Walijidai wanatoka LG electronics. Niliamua kusachi kama kampuni hiyo inashindano la hivyo, nikakuta hakuna nikajua hawa ni mtapeli wa kimataifa. Kwa kuwa umeshajua, nakushauli jaza hizo details ila usiwape account yoyote wala namba ya simu.

Wakikujibu tujuze kila hatua.
 
Mimi nimepata the same message kutoka namba +60103365897. Kazi kwako.

Huu ujumbe umekuja kwenye simu nyengine lakini hii line hapo awali ilikuwa kwenye blackberry.
 
Ndugu yangu hapo umekutana na maprofesa(matapeli). Binafsi nina experience na hawa matapeli. Mwaka juzi 2009 ilinitokea kwa kutumiwa email kutoka UK. Niliijibu kwa kutoa details walizohitaji,baada ya siku chache nikapata email kuwa mimi ni mshindi na nimepata euro 950,000. Nikapewa maelekezo ya namna ya kuipata zawadi ambapo nilitakiwa kwenda kulipia dola 450 au 350 au 250 kupata zawadi haraka itategemea umetoa dola ngapi.


Walitaka nitumie moneywire au moneygram au westernuniun. Wakasema malipo ni kwa ajili ya firmchamber law kuwalipa wanasheria. Nikawaambia kateni kwenye zawadi wakagoma! Nikawaambia mie sinashida na zawadi yenye masharti,kama hivyo wampe mwingine. Walikuwa wananisumbua sana kwa kunipigia simu,baada ya hapo nilikuwa nakata kila wakipiga.

Baada ya kuona response ni negative waliniacha hata email zikawa haziji.Walijidai wanatoka LG electronics. Niliamua kusachi kama kampuni hiyo inashindano la hivyo,nikakuta hakuna nikajua hawa ni mtapeli wa kimataifa. Kwakuwa umeshajua,nakushauli jaza hizo details ila usiwape account yoyote wala namba ya simu. Wakikujibu tujuze kila hatua.

Nashukuru sana mpaka leo wamenitumia massage hiyo mara nne kwenye namba yangu ya Airtel,Nilichofanya sitajibu na line nimeitoa kwenye simu kwa vile siitumii sana nitaiweka baada ya mwezi mmoja natumaini watakuwa wamekata tamaa.
 
jamaa yangu alinifuata jana usiku ananiuliza jinsi ya kufanya malipo na visa card, nikauliza k2 gani wanunua na visa akasema ameshinda £ ml 2 kutoka blackbery nikamuuliza ulishiriki shindano akasema no nikamuliza sasa umeshindaje km hujashiriki akashtuka
 
Matapeli hao,hata mie ilinikuta wakijifanya ni kampuni ya microsoft,window live,ili nipate hela yangu pound laki mbili walinitaka nilipe ada euro 500, nitume oceanic bank,nilipogoogle nikagundua bank iko nigeria,duh! Kuona ni nigeria sikujisumba,hao ni matapeli mkuu,umesahau ile ya bongo kuwa umeshinda kenya shngs laki 2 kutoka kenya brwries?
 
Back
Top Bottom