BlackBerry 9800

Shubiri

Member
Sep 7, 2010
23
9
Habari wakuu,

Ndugu zangu nina simu yangu aina ya BlackBerry 9800 ambayo nilisafiri kidogo nikaiacha bila kuchomoa betri. Niliporudi nimeikuta simu haiwaki wala haichaji zaidi unawaka taa nyekundu bila kuzima pindi utapoiwasha au kuichomeka kwenye umeme.

Naomba msaada.

Asante.
 
Habari wakuu,

Ndugu zangu nina simu yangu aina ya BlackBerry 9800 ambayo nilisafiri kidogo nikaiacha bila kuchomoa betri. Niliporudi nimeikuta simu haiwaki wala haichaji zaidi unawaka taa nyekundu bila kuzima pindi utapoiwasha au kuichomeka kwenye umeme.

Naomba msaada.

Asante.

imekufa hiyo mkuu redlight virus ndo ubaya wa blackberry tu
 
Back
Top Bottom