Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,388
Habari wadau,
Huyu bwana amekuwa akialikwa star tv mara kwa mara kama mchambuzi wa siasa lakini ukimsikiliza hoja zake mara nyingi ni kuponda wapinzani na kusifia serikali ya CCM.
Kwa mfano,anasema wapinzani kutoka Bungeni ni utoto.
Madai ya katiba mpya yalikuwa na agenda za kisiasa.
Mwaka 2005 Raisi Kikwete ndie aliekuwa mtia nia mwenye sifa kuliko wote ndani ya CCM.
Anahoji kwanini tv za binafsi zilipinga kujiunga TBC kwa ajili ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku lakini tv hizo ziko tayari kujiunga na tv za nje kama CNN n.k
Uzuri mtangazaji kamjibu kuwa wanajiunga na tv za kimataiga kwasababu wanatekeleza maagizo ya TCRA kuwa local tv stations hizo zinatakiwa zimpe mwananchi habari za ndani na za kimataifa kupitia stations za nje hivyo ndio maana wanajiunga na station za nje.
Anasema mgombea kumpa mpiga kura hela kama shilingi 100,000 ili ampigie kura haiwezi kuwa rushwa moja kwa moja kwasababu kura ni siri hivyo mtu anaweza kupewa hiyo 100,000 na bado asimpigie kura hivyo ni lazima kwanza ithibitishwe kama alimipigia kura ya ndio kabla kusema hiyo hela ni rushwa au laa!!
Hayo ni baadhi tu ya mengi aliyoongea na si leo tu bali anapoalikwa ni kuponda tu wapinzani!
Msikilizeni mjue kama ni mchambuzi au kada.
Huyu bwana amekuwa akialikwa star tv mara kwa mara kama mchambuzi wa siasa lakini ukimsikiliza hoja zake mara nyingi ni kuponda wapinzani na kusifia serikali ya CCM.
Kwa mfano,anasema wapinzani kutoka Bungeni ni utoto.
Madai ya katiba mpya yalikuwa na agenda za kisiasa.
Mwaka 2005 Raisi Kikwete ndie aliekuwa mtia nia mwenye sifa kuliko wote ndani ya CCM.
Anahoji kwanini tv za binafsi zilipinga kujiunga TBC kwa ajili ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku lakini tv hizo ziko tayari kujiunga na tv za nje kama CNN n.k
Uzuri mtangazaji kamjibu kuwa wanajiunga na tv za kimataiga kwasababu wanatekeleza maagizo ya TCRA kuwa local tv stations hizo zinatakiwa zimpe mwananchi habari za ndani na za kimataifa kupitia stations za nje hivyo ndio maana wanajiunga na station za nje.
Anasema mgombea kumpa mpiga kura hela kama shilingi 100,000 ili ampigie kura haiwezi kuwa rushwa moja kwa moja kwasababu kura ni siri hivyo mtu anaweza kupewa hiyo 100,000 na bado asimpigie kura hivyo ni lazima kwanza ithibitishwe kama alimipigia kura ya ndio kabla kusema hiyo hela ni rushwa au laa!!
Hayo ni baadhi tu ya mengi aliyoongea na si leo tu bali anapoalikwa ni kuponda tu wapinzani!
Msikilizeni mjue kama ni mchambuzi au kada.