hamzidi Preta wala Afrodenz
Ah wewe acha kubana huyo binti anavutia sanaMbona hamna kitu hapo???Sijajua watu uzuri wanaangalia nini!
Kwa hisani ya michuzi naomba kuweka picha ya binti wa mkuu wa kaya yetu. Kwa kweli nimempenda ila sijapata jina na contacts
zake jamani. . Sijajua mkuu alikuwa anasema nini hapo
Mbona hamna kitu hapo???Sijajua watu uzuri wanaangalia nini!
MashaAllah, halafu anaonesha ni kichwa kama baba'ke.[/QUOTE]
Makubwa..