Mamaake kamaliza kila kitu!...Nadhani ni mtoto wa Salma huyu!
Kumbe ana watoto wa kike wakubwa kabisa wanao fanana na yule binti wa Zakhia Meghj.Kwa hisani ya michuzi naomba kuweka picha ya binti wa mkuu wa kaya yetu. Kwa kweli nimempenda ila sijapata jina na contacts
zake jamani. . Sijajua mkuu alikuwa anasema nini hapo