Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Anafaa kwa matumizi ya binadamu
Hamna kitu hapo!
Ana maji????? Lazima Mhaya aulizie hiyo kitu
Kwa hisani ya michuzi naomba kuweka picha ya binti wa mkuu wa kaya yetu. Kwa kweli nimempenda ila sijapata jina na contacts
zake jamani. . Sijajua mkuu alikuwa anasema nini hapo
Smily Riz1 na huyu binti daktari sio watoto wa Salma mama yao ni mwingine,Salma watoto wake ni wadogo sijui kama umewaona vivulana flani huwa wanatokea kwenye picha mara moja moja kama miaka kumi na kitu hata 16 sidhani wamefika.Anafanana kweli na mama yake..Salma.
Mzuri..halafu atakuwa hajaguswa!
Huyu binti mbona anaonekana bado ni teenager?Smily Riz1 na huyu binti daktari sio watoto wa Salma mama yao ni mwingine,Salma watoto wake ni wadogo sijui kama umewaona vivulana flani huwa wanatokea kwenye picha mara moja moja kama miaka kumi na kitu hata 16 sidhani wamefika.
Khaa! Maji Yepi hayo? ya kunywa, kuoga, kufulia, kudeki, kuoshea vyombo, au?