Jamani asanten sana kwa shauri zenu nyingi ila swal langu ni hivi hii jamii kwan bado inajuhusisha na vitendo vya ukeketaji?
Ni wazuri sana ingawa wakifika mijini huwa wanakuwa na huruma sana. Ni wepesi wa kutoa kila wanapoliliwa. Hawapendi wenzao waumie wakati suluhisho wanalo mikononi mwao.
Jamani asanten sana kwa shauri zenu nyingi ila swal langu ni hivi hii jamii kwan bado inajuhusisha na vitendo vya ukeketaji?
Whaat? Unatuuliza sie wakati binti unaye ...
Tukuulize wewe sasa...usituambie unasubiiri baada ya ndoa ndio m duu
Au na wewe umeshadanganywa ubikra te te te...
Whaat? Unatuuliza sie wakati binti unaye ...
Tukuulize wewe sasa...usituambie unasubiiri baada ya ndoa ndio m duu
Au na wewe umeshadanganywa ubikra te te te...
Kiiraqw....Bashnet huko bwana..
ukishikwa shikamana hamna la zaidi..!!
wanasema wanagawa kama lawalawa...usikatishwe tamaa mkuu, ni maneno tu hayo!!
looooo!!! hawa kina katarina sifa yao kubwa hawajuagi kusema hapana ukimuomba atakuambia hakuna shida kwani ni sabuni itaisha? halafu ukimfumania atajitetea ni ndugu yangu jamani tumbo moja lakini kila mtu na baba yake na mama yake shida ika.Nimetokea kumpenda binti mmoja wa kiiraq kutoka manyara kule juu wanapaita bashnati kiukweli nimempenda so kama kuna mtu ana jua tabia zao na ishu nyinginezo anijuze kabla sijafanya maamuzi.