Hii stori inatuambia mengi. Kwanza bado nina msimamo kuwa yule Hakimu ni kilaza, kwa sababu kwa nini asingemchukulia hatua huyo wakili? mbona kuna mkuu wa wilaya alimjia juu Lowassa pale iLowassa alivyojaribu kumdhalilisha mbele za watu?
Kutokana na maelezo ya rushwa hapo mahakamini nina hisia kuwa huyo Hakimu kilichomzuia kumfundisha adabu Wakili ilikuwa si kuogopa jina la Karume, bali huyo Hakimu ana jambo lingine analoogopa in this case ni hayo mambo ya rushwa. Hapa ni shari kuzaa heri, maofisa wa kuzuia rushwa wanatakiwa wateremke pale wawapige watu jamba jamba hata kama hawatamkamata mtu basi waonyeshe presence yao pale na wachimbe biti kishenzi kwamba tumeweka mitego na tunawatumiwa washtaki na washtakiwa kwa hiyo muhusika wa kesi akiombwa rushwa tu tutajua na Hakimu anayeshughulikia kesi hiyo tutamuabisha, yaani hapo ni scare tactics za kuzuia watu kuomba rushwa kabla hata hawajaomba, unajua unaweza kuzuia rushwa kisaikolojia tu! Mambondia kama kina Mohamed Ally walikuwa kwanza kabla ya ngumi wanampiga mtu kisaikolojia mtu anatishwa wewe ntakufanyizia leo ntakuteremshia ngumi kama nyuki, jamaa anakuwa anapigwa pambano la kifikra kabla la ngumi halijaanza.
Hii inawezekana mahakamani, mahakimu wataogopa kupokea rushwa na serikali iwaongezee mishahara na mambo yataenda na haki itatendeka.
Wel said, but who said pccb officers are angels? they are also corrupt like hakimuz, nao wanazimwa vilevile wakitaka ku act. kuna law of protectionism hapa, ma godfathers, na wanaoozea magerezani ni wanyonge tu. This whole thing confuses me, mahakimu wanaofunga wala rushwa nao ni cwala rushwa, pccb wanaopambana na rushwa nao wala rushwa, viongozi wakubwa nao wala rushwa, watoto wao pia waliolewa madaraka ya wazazi wao hata kutohehimu mamlaka ya mahakama kwa kujitetea kwamba wanazuia rushwa nao wala rushwa, i am so fed up with this nation, May God help us.