Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,805
- 69,055
Inasikitisha jamanii na inauma kwa mauaji yanayotekea hapa Nchini, kuna binti alikuwa anasoma chuo cha Bagamoyo ni mkazi wa Mwanza, anaitwa Wanze au Ashura mrefu wastani,mweusi mzuri ,alitekwa na watu wasiojulikana wamemuua wakampiga picha kwa simu yake marehemu pia wakaisambaza kwa whatsapp kutumia simu yake ,wakatuma kwa namba zilizokuwemo kwenye simu ya marehemu.
Sasa jamani leo siku ya 11 hajulikani alipo mnataka kuifanyia nini hiyo maiti iwekeni sehemu basi watu waione watoe taarifa police ndugu wachukue binti yao wamzimke. Mmemuua bado mnaficha jamanii mlaaniwe mliofanya hivyo.
Jamani kwa waliosoma na Ashura au Wanze chuo cha Bagamoyo najua mtakuwemo humu tupeni taarifa yoyote mliyosikia jamanii.
Tiririkeni wadau bado maiti haijapatikana ila picha zimesambaa, ,na sijui kurusha picha humu.
Ee Mungu Wafariji ndugu zake na wazazi wake, Binaadamu tunatisha jamanii
Kinachoendelea, ,,maiti imekutwa Dar imetupwa wasamaria wameichukua na kuipeleka muhimbili hospital
Kwa uchunguzi zaidi
==========================
==========================
Picha kwa hisani ya Samuel Sasali (Blogger)
Sasa jamani leo siku ya 11 hajulikani alipo mnataka kuifanyia nini hiyo maiti iwekeni sehemu basi watu waione watoe taarifa police ndugu wachukue binti yao wamzimke. Mmemuua bado mnaficha jamanii mlaaniwe mliofanya hivyo.
Jamani kwa waliosoma na Ashura au Wanze chuo cha Bagamoyo najua mtakuwemo humu tupeni taarifa yoyote mliyosikia jamanii.
Tiririkeni wadau bado maiti haijapatikana ila picha zimesambaa, ,na sijui kurusha picha humu.
Ee Mungu Wafariji ndugu zake na wazazi wake, Binaadamu tunatisha jamanii
Kinachoendelea, ,,maiti imekutwa Dar imetupwa wasamaria wameichukua na kuipeleka muhimbili hospital
Kwa uchunguzi zaidi
==========================
==========================
Picha kwa hisani ya Samuel Sasali (Blogger)