Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

hata kama alikula vya watu kama mnavyodai,embu kuweni great thinkers nawaowajua dairy jinsi mnavyopinga maovu katika jamii.sI vizuri kuzidi kumkandamiza marehemu kwa hasira zenu binafsi za kula vya watu ,kwanza mnahumiza hisia za ndugu,rafik,na jamaa ambao wamegubikwa na huzuni huku wakiwa hawajui hatima ya mwili wa mpendwa wao.
Naungana na wale wote waloguswa na unyama huu kuhakikisha walotenda unyama huu wanatiwa nguvuni.R.I.P ASHURA
 
Oh jamani nimesikitika sana,inauma zaidi hizo picha walizotumiwa kweli ubinadamu umekwisha sasa ni unyama tu...
 
Mmh! yaani kutoa roho ya mtu siku hizi imekuwa kitu cha kawaida sana na sijui huko mbeleni itakuwaje, inasikitisha sana aiseee.. Inawezekana hiyo maiti wameizika wenyewe.
 
Mungu wafariji wafiwa na uwasaidie polisi kumpata marehemu!Amina...
 
Dah!Leo week end imeanza vibaya sana ,yaani ni habari za maangamizi tu na za kusisimua,Polisi wamesweka rumande Mama na mtoto,mtoto akafariki Dunia huko Dar,leo nikitoka job nashinda ndani tu na my chocolate nifanye tafakari ya kiroho.
 
Maiti imepatikania Dar ishapelekwa muhimbili kuhifadhiwa
 
Tunahitaji polisi intelligents issue kama hizi ni ndogo sana kuwapata wote waliohusika,tatizo undugunization mwingi sana kwenye ajira za usalama na jeshi,watu ambao wanaweza hawapati hizo nafasi,wanapata makanjanja tu ndio maana uhalifu unazidi kuongezeka,mtu anatekwa hadi siku ya 11 bado hajapatikana na tuna usalama nchini job true true.
 
Haikuwa rahisi kuwapata wauaji wa kamanda Barlow lakini kwa kuwa aliuawa kamanda,fasta wakadakwa kwa hii sirikali ya ma ccm raia tutakufa mno,halafu mauaji ya staili hiyo si bure tu,utakuta binti kala pesa za mtu nyingi sana,at the end anamgeuka jamaa na kuanza kugegedwa nje.
 
Tabia za wanyama(unyama) zimehamia kwa binadamu halafu ubinadamu ukawatoka watu ukaingia kwa wanyama hivyo inakuwa nafuu kukutana na simba kuliko mwanadamu, ".....kila mahali ukatili na dhuluma, kwenye watu kumi binadamu mmoja...."- Marijani Rajab(Dunia imani imekwisha)
 
Back
Top Bottom